james chapacha
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 939
- 200
ukiona mchawi anaanza kutoboa siri za uchawi jue kunamambo 2 makubwa yanakuja,kama si kifo ni kuacha uchawi.Nape anatafuta mlango wakutokea,kumbuka Nape anatamani kuvaa gwanda lamakamanda lkn anashndwa.Mwandshi Nape kaikuta ccm uchi,cjui ninguo zipi unasema!ccm imebaki na ngozi na singuo na ngozi inaelekea ukingoni.wataweza kuishi?