Nape ailipua CHADEMA

Nape ailipua CHADEMA

mbowe ana familia? Si nilisikia ana kaugomvi cha kudumuna mtoto wa mzee mtei na sasa kaamuwa kufanya zinaa na mbunge wake wa ependeleo.

Kwi kwi kwi.

Nape, mbowe hata siku moja hawezi kuleta wanawe kwenye maandamano, saa hizi wanakula pizza dubai au uk. Cheza na mbowe wewe? Hata bilicanas hawakanyagi, pale wanaenda wajinga waliwao tu. Itakuwa kwenye maandamano ya kumwaga damu?

maneno ya t.o.t plus hayawezi kuwatisha weusiiiiiiiii.........kesho lazima kinuke kama mbwai mbwai tu.
 
NAPE AILIPUA CHADEMA!!
Posted on 23:40

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Bw. Nape Nnauye, amewataka wananchi wasikubali kuandamana kwa shinikizo la viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), ili kushinikiza Bunge Maalumu la Katiba lisitishe vikao vyake kabla ya Oktoba 4,2014.

Bw. Nnauye aliyasema hayo jana kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Wilaya ya Kisarawe, mkoani Pwani na kusisitiza kuwa, maandamano hayo aachiwe Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Bw. Freeman Mbowe, familia yake na viongozi wengine.

Alisema chama hicho kina utamaduni wa kutumia damu za Watanzania kama mtaji wake kisiasa kwani vyombo vya dola vinapochukua hatua ya kuzuia maandamano, wanaoathirika si viongozi wa chama hicho au familia zao ndio maana wanaona fahari watu wanapokufa.

"Upinzani katika nchi hii umegeuka kuwa laana, kazi kubwa ambayo wanaifanya ni kuchonganisha watu na Watanzania ni mashahidi, maeneo ambayo CHADEMA wamefanya maandamano, watu maskini wamepoteza maisha.

"Viongozi wa CHADEMA wanabaki salama na familia zao hivyo kama Mbowe anataka kufanya maandamano nchi nzima kushinikiza Bunge la Katiba lisitishwe, aanze kutangulia yeye, mkewe na watoto zake, Watanzania wamechoka kushuhudia damu za watu maskini zikimwagika," alisema Nape.

Aliwataka wananchi kufahamu kuwa, Katiba haimpeleki mwanasiasa au mtu yoyote Ikulu badala yake kura ndizo zinazoweza kumpeleka Ikulu ambapo CHADEMA, Chama cha Wananchi (CUF) pamoja na NCCR-Mageuzi, wanaamini Katiba ikipatikana ndio inayoweza kuwapa ushindi katika Uchaguzi Mkuu 2015.

"Vyama hivi vinataka kuligawa Taifa kwa kutumia mchakato wa Katiba, umefika wakati wa Watanzania kuachana na upinzani wenye kujenga chuki...CCM na viongozi wake wamekuwa wakihubiri amani, mshikamano na umoja lakini wapinzani wanatumia muda mwingi kuhubiri chuki," alisema.

Katika hatua nyingine, Katibu Mkuu wa CCM, Bw. Abdulrahman Kinana, amepongeza juhudi za Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), Mama Salma Kikwete, kwa juhudi zake za kuwasaidia wanawake na watoto wa kike kupitia taasisi hiyo.

Bw. Kinana alitoa pongezi hizo juzi baada ya kutembelea Shule ya Wanawake ya Wama Nakayama, inayomilikiwa na taasisi hiyo iliyopo kwenye Kijiji cha Nyamisati, Wilaya ya Rufiji, mkoani Pwani.

Alis ema Mama Kikwete amekuwa na mchango mkubwa nchini kutokana na jitihada zake za kusaidia makundi mbalimbali wakiwemo watoto yatima na waishio katika mazingira magumu.

Aliwataka wanafunzi shuleni hapo, kusoma kwa bidii ili kuunga mkono juhudi za Mama Kikwete kwani wao ndio viongozi wa baadaye ambao watashika nafasi mbalimbali za uongozi.

Kwa upande wake, Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, Suma Mensah, alisema shule hiyo imekuwa msaada mkubwa kwa wakazi wa Rufiji na nje ya Wilaya hiyo kwani inatoa elimu kwa wanafunzi wasio na uwezo pamoja na yatima.

"Juhudi za Mama Kikwete kwa watoto wa kike zimefanikiwa kwani watoto waliokuwa hawana mwelekeo wa maisha, hivi sasa wanafurahia kupata elimu bora," alisema Mensah.

sioni mantiki ya post hii.hakuna ukombozi bila gharama
 
-Super sana Bro Nape. Hawa wahuni wanavuruga nchi yetu. Wakapigane na kiandamani huko hai kwa mbowe. Mamburula kama Ben saa nane wamechoka ku baby sit Jr. Apelekwe hai akalime

-CCM ni chama dume chama cha uhakika. Super sana.

Lebig Show. King of all social network. Sauti ya umeme@NY

HIKI KIRUSI CHA MAANDAMANO KIMESAMBAA NCHI NZIMA HAKUNA AUNT VIRUS YA KUWEZA KU I SCAN HASIRA YA NGUVU YA UMMA....B..Oy@ wewe. Kalisha CHUNGU CHAKO.
 
mbowe+clip.jpg



People's powerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr

Alutta continua! continua!
 
Mbowe ana familia? Si nilisikia ana kaugomvi cha kudumu na mtoto wa Mzee mtei na sasa kaamuwa kufanya zinaa na mbunge wake wa upendeleo.

Kwi kwi kwi.

Nape, Mbowe hata siku moja hawezi kuleta wanawe kwenye maandamano, saa hizi wanakula pizza Dubai au UK. Cheza na Mbowe wewe? Hata bilicanas hawakanyagi, pale wanaenda wajinga waliwao tu. Itakuwa kwenye maandamano ya kumwaga damu?

mbweche yako imeacha kunuka panya!!?
 
Hapo penye rangi anaonyesha akili yake ilivyo finyu, bila katiba ya kweli ya vyama viwili ambayo itahakikisha kuwepo kwa Tume huru ya uchaguzi ambayo haitaingiliwa kazi zake na yeyote yule, ambayo itahakikisha chaguzi zetu zinakuwa huru na za haki anadhani hizo kura zinazochakachuliwa kwa kutumia vyombo vya dola na kitengo cha MAFISIEM wenyewe wanakiita Tume ya uchaguzi zitakahakikisha kuna chama chochote kile kinashika madaraka nchini badala ya MAFISIEM? Hebu atuondolee ujinga wake hapa. Katiba ndiyo kila kitu katika kuhakikisha uchaguzi huru na wa haki utakaosimamiwa na Tume huru siyi hii Tume ya MAFISIEM ya Uchaguzi.

NAPE AILIPUA CHADEMA!!
Posted on 23:40

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Bw. Nape Nnauye, amewataka wananchi wasikubali kuandamana kwa shinikizo la viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), ili kushinikiza Bunge Maalumu la Katiba lisitishe vikao vyake kabla ya Oktoba 4,2014.

Bw. Nnauye aliyasema hayo jana kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Wilaya ya Kisarawe, mkoani Pwani na kusisitiza kuwa, maandamano hayo aachiwe Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Bw. Freeman Mbowe, familia yake na viongozi wengine.

Alisema chama hicho kina utamaduni wa kutumia damu za Watanzania kama mtaji wake kisiasa kwani vyombo vya dola vinapochukua hatua ya kuzuia maandamano, wanaoathirika si viongozi wa chama hicho au familia zao ndio maana wanaona fahari watu wanapokufa.

"Upinzani katika nchi hii umegeuka kuwa laana, kazi kubwa ambayo wanaifanya ni kuchonganisha watu na Watanzania ni mashahidi, maeneo ambayo CHADEMA wamefanya maandamano, watu maskini wamepoteza maisha.

"Viongozi wa CHADEMA wanabaki salama na familia zao hivyo kama Mbowe anataka kufanya maandamano nchi nzima kushinikiza Bunge la Katiba lisitishwe, aanze kutangulia yeye, mkewe na watoto zake, Watanzania wamechoka kushuhudia damu za watu maskini zikimwagika," alisema Nape.Aliwataka wananchi kufahamu kuwa, Katiba haimpeleki mwanasiasa au mtu yoyote Ikulu badala yake kura ndizo zinazoweza kumpeleka Ikulu ambapo CHADEMA, Chama cha Wananchi (CUF) pamoja na NCCR-Mageuzi, wanaamini Katiba ikipatikana ndio inayoweza kuwapa ushindi katika Uchaguzi Mkuu 2015.



"Vyama hivi vinataka kuligawa Taifa kwa kutumia mchakato wa Katiba, umefika wakati wa Watanzania kuachana na upinzani wenye kujenga chuki...CCM na viongozi wake wamekuwa wakihubiri amani, mshikamano na umoja lakini wapinzani wanatumia muda mwingi kuhubiri chuki," alisema.

Katika hatua nyingine, Katibu Mkuu wa CCM, Bw. Abdulrahman Kinana, amepongeza juhudi za Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), Mama Salma Kikwete, kwa juhudi zake za kuwasaidia wanawake na watoto wa kike kupitia taasisi hiyo.

Bw. Kinana alitoa pongezi hizo juzi baada ya kutembelea Shule ya Wanawake ya Wama Nakayama, inayomilikiwa na taasisi hiyo iliyopo kwenye Kijiji cha Nyamisati, Wilaya ya Rufiji, mkoani Pwani.

Alis ema Mama Kikwete amekuwa na mchango mkubwa nchini kutokana na jitihada zake za kusaidia makundi mbalimbali wakiwemo watoto yatima na waishio katika mazingira magumu.

Aliwataka wanafunzi shuleni hapo, kusoma kwa bidii ili kuunga mkono juhudi za Mama Kikwete kwani wao ndio viongozi wa baadaye ambao watashika nafasi mbalimbali za uongozi.

Kwa upande wake, Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, Suma Mensah, alisema shule hiyo imekuwa msaada mkubwa kwa wakazi wa Rufiji na nje ya Wilaya hiyo kwani inatoa elimu kwa wanafunzi wasio na uwezo pamoja na yatima.

"Juhudi za Mama Kikwete kwa watoto wa kike zimefanikiwa kwani watoto waliokuwa hawana mwelekeo wa maisha, hivi sasa wanafurahia kupata elimu bora," alisema Mensah.
 
nape umepagawa na msomali wako kinana maandamano kamq kawa tunaona duniani maandamano yanavyofanyika acha propaganda ushashiba wewe.
 
Umejificha nyuma ya keyboard, ingia mtaani na wajukuu wa Mtei ukione.

We kikongwe tulia ulee wajukuu nyumbani tuache Wanaume tufanye ukombozi mpyaaaaaaa..........PEOPLEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE.
 
Wajinga waliwao, hata wakati wa kudai uhuru, watu kama Nape walikuwepo na wao walikua wanasema wakati akina Nyerere na wenzake wana pigania uhuru na kuuwawa, walikua wanaunga mkono wakoroni. Nakusema Tanganyika bila wakoroni haiwezekani. Naleo wapo hawa watu wanao nufaika na huu mfumo wa ccm, na wanaonaTanzania bila ccm haiwezekani. Mbona inawezekana! KANU ya Moi iko wapi? ZAPU ya Kaunda iko wapi? MCP ya Kamuzu Banda wa Malawi iko wapi? We need to change people. Ccm wanafikiri Tanzania ni shamba la bibi. Wanarubuni wananchi na kuwa wapa hofu bure, ila wanajua umoja wa upinzani ni nguvu. Ili kuendelea kupata ulaji kazi yao ni kusambaratisha upinzani. Watanzania amkeni, wenzetu wanapiga hatua sie bado tume dumaa na chama cha kijani. Wake up!
 
Mbowe ana familia? Si nilisikia ana kaugomvi cha kudumu na mtoto wa Mzee mtei na sasa kaamuwa kufanya zinaa na mbunge wake wa upendeleo.

Kwi kwi kwi.

Nape, Mbowe hata siku moja hawezi kuleta wanawe kwenye maandamano, saa hizi wanakula pizza Dubai au UK. Cheza na Mbowe wewe? Hata bilicanas hawakanyagi, pale wanaenda wajinga waliwao tu. Itakuwa kwenye maandamano ya kumwaga damu?

Heee umeshamwagwa tena nini maana tuliambiwa umepata bwana wa kukusitiri na ugumu wa maisha ulioletwa na CCM.Maana hukuonekana au ulikuwa likizo ya uzazi?
 
Hamkumuona mke wa dr slaa alivyovuja damu baada ya kipigo cha policcm arusha?nape apeleke maneno yake ya kanga kwa wambea wenzake,jitu zima linaropoka 2!kwanza 2mechoka na hawa jamaa mpaka tembo wameandamana kuwapinga yeye na yule msomali!
Hapa 2nazungumzia bmk na pesa za wananchi
 
NAPE AILIPUA CHADEMA!!
Posted on 23:40

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Bw. Nape Nnauye, amewataka wananchi wasikubali kuandamana kwa shinikizo la viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), ili kushinikiza Bunge Maalumu la Katiba lisitishe vikao vyake kabla ya Oktoba 4,2014.

Bw. Nnauye aliyasema hayo jana kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Wilaya ya Kisarawe, mkoani Pwani na kusisitiza kuwa, maandamano hayo aachiwe Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Bw. Freeman Mbowe, familia yake na viongozi wengine.

Alisema chama hicho kina utamaduni wa kutumia damu za Watanzania kama mtaji wake kisiasa kwani vyombo vya dola vinapochukua hatua ya kuzuia maandamano, wanaoathirika si viongozi wa chama hicho au familia zao ndio maana wanaona fahari watu wanapokufa.

"Upinzani katika nchi hii umegeuka kuwa laana, kazi kubwa ambayo wanaifanya ni kuchonganisha watu na Watanzania ni mashahidi, maeneo ambayo CHADEMA wamefanya maandamano, watu maskini wamepoteza maisha.

"Viongozi wa CHADEMA wanabaki salama na familia zao hivyo kama Mbowe anataka kufanya maandamano nchi nzima kushinikiza Bunge la Katiba lisitishwe, aanze kutangulia yeye, mkewe na watoto zake, Watanzania wamechoka kushuhudia damu za watu maskini zikimwagika," alisema Nape.

Aliwataka wananchi kufahamu kuwa, Katiba haimpeleki mwanasiasa au mtu yoyote Ikulu badala yake kura ndizo zinazoweza kumpeleka Ikulu ambapo CHADEMA, Chama cha Wananchi (CUF) pamoja na NCCR-Mageuzi, wanaamini Katiba ikipatikana ndio inayoweza kuwapa ushindi katika Uchaguzi Mkuu 2015.

"Vyama hivi vinataka kuligawa Taifa kwa kutumia mchakato wa Katiba, umefika wakati wa Watanzania kuachana na upinzani wenye kujenga chuki...CCM na viongozi wake wamekuwa wakihubiri amani, mshikamano na umoja lakini wapinzani wanatumia muda mwingi kuhubiri chuki," alisema.

Katika hatua nyingine, Katibu Mkuu wa CCM, Bw. Abdulrahman Kinana, amepongeza juhudi za Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), Mama Salma Kikwete, kwa juhudi zake za kuwasaidia wanawake na watoto wa kike kupitia taasisi hiyo.

Bw. Kinana alitoa pongezi hizo juzi baada ya kutembelea Shule ya Wanawake ya Wama Nakayama, inayomilikiwa na taasisi hiyo iliyopo kwenye Kijiji cha Nyamisati, Wilaya ya Rufiji, mkoani Pwani.

Alis ema Mama Kikwete amekuwa na mchango mkubwa nchini kutokana na jitihada zake za kusaidia makundi mbalimbali wakiwemo watoto yatima na waishio katika mazingira magumu.

Aliwataka wanafunzi shuleni hapo, kusoma kwa bidii ili kuunga mkono juhudi za Mama Kikwete kwani wao ndio viongozi wa baadaye ambao watashika nafasi mbalimbali za uongozi.

Kwa upande wake, Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, Suma Mensah, alisema shule hiyo imekuwa msaada mkubwa kwa wakazi wa Rufiji na nje ya Wilaya hiyo kwani inatoa elimu kwa wanafunzi wasio na uwezo pamoja na yatima.

"Juhudi za Mama Kikwete kwa watoto wa kike zimefanikiwa kwani watoto waliokuwa hawana mwelekeo wa maisha, hivi sasa wanafurahia kupata elimu bora," alisema Mensah.

Hivi huyu Nape kamshamjua baba yake nani?Namshauri
akamtafute baba yake kwanza ni kitu muhimu kumjua mzazi wako hata kama hakusaidii amkamtafute tu.
 
Back
Top Bottom