Mpenzi Jestina hujambo? Kheri ya Mwaka Mpya...
nina wapenzi wengi tu humu ndani je wewe ni Male or Female? Mke au dume mwenzangu?Na wewe una wapenzi wangapi?
Mgonjwa vipi? unaendeleaje? kama hujapata nafuu nenda kapime mimba baada ya wiki mbili halafu unipm. Pole sana. ndo ukubwa huo. Mia
nina wapenzi wengi tu humu ndani je wewe ni Male or Female? Mke au dume mwenzangu?
naendelea vizuri kabisa yaani leo sina kichefu chefu kabisa na nimewza kula vizuri tu.naona wewe mwenzangu ndo unaumwa ugonjwa mbaya wa kung'ang'ania.manake umekazania kweli,oh mimba hiyo!!jamni watu wengine!
kapime minyoo. meza mebendazolenaombeni msaada,, mara kwa mara siku za karibuni nimekuwa napatwa na hali ya kichefuchefu kikali sana natamani kutapika ila najizuia...sijawahi kuwa na shida kama hii hapo nyuma, mimba sina malaria sina ila nilimeza mseto hivyohivyo,, lakini kuna mida kile kichefuchefu kinakuja ghafla naweza kaa nacho kama dk 10 au 20
nafanyaje???
kapime minyoo. meza mebendazole
Pia angalia na vidonda vya tumbo.
Mimba nyingine zina tabia ya kujificha,,,subiri baada ya siku saba upime tena mimba!
ok asante ntaenda kupima minyoo...