S U N N Y
Member
- Sep 22, 2018
- 95
- 153
Je? Nimwone nani anisaidie, Daktari au Mchungaji?
Nna miaka 29 now.
Last week nimekutana na tukio baya Sana in my life, as nilijaribu kujiua juu ya kuwa nimezongwa Sana na msongo wa mawazo ya vimadeni na Kila jambo nnalopanga haliendi.
Nilipona bàda tu ya kujishauri mwenyewe and I cried a lot as Kama kifaa Cha kujimalizia uhai wangu nilikua nisha andaa.
Badae siku nne mbele akili ikawa umetulia kidogo nikaja hapa JF nimeomba ushaur kwa wadau kupitia Uzi flani, basi karibu watu 120 walijitokeza wakani show love Sana kias kwamba saivi siwazi tena upuuzi husika Ila nafikiria juu ya emotional intelligence ili nisiwe na fikra hizi tena.
Hakuna tatizo nililo ondokana nalo so far Ila natamani kupata uimara kifikra, wadau nafanyaje hapo? Namwona nani anisaidie daktari au mchungaji?
Mana mwisho wa siku inabidi niwe tu imara. Kama ni shida hizi zipo na hata nikijimaliza ntaacha mzigo kwa Mama (mzazi wangu)
Nna miaka 29 now.
Last week nimekutana na tukio baya Sana in my life, as nilijaribu kujiua juu ya kuwa nimezongwa Sana na msongo wa mawazo ya vimadeni na Kila jambo nnalopanga haliendi.
Nilipona bàda tu ya kujishauri mwenyewe and I cried a lot as Kama kifaa Cha kujimalizia uhai wangu nilikua nisha andaa.
Badae siku nne mbele akili ikawa umetulia kidogo nikaja hapa JF nimeomba ushaur kwa wadau kupitia Uzi flani, basi karibu watu 120 walijitokeza wakani show love Sana kias kwamba saivi siwazi tena upuuzi husika Ila nafikiria juu ya emotional intelligence ili nisiwe na fikra hizi tena.
Hakuna tatizo nililo ondokana nalo so far Ila natamani kupata uimara kifikra, wadau nafanyaje hapo? Namwona nani anisaidie daktari au mchungaji?
Mana mwisho wa siku inabidi niwe tu imara. Kama ni shida hizi zipo na hata nikijimaliza ntaacha mzigo kwa Mama (mzazi wangu)