Jusikafiri
Member
- Sep 6, 2022
- 12
- 67
Salaam,
Mimi ni mtanzania msaka tonge kama wasaka tonge wengine nakumbuka mwaka 2016 nilihitimu diploma yangu katika chuo kinachotambuliwa na serikali ya Tanzania, nina vyeti vitatu apa nilipo cha NTA Level 4,5,6 ila najua kwa kazi niliyoikusudia apo ntatumia cheti cha Level 5.
Jambo langu kubwa nahitaji msaada wa connection yakupata utendaji ndani ya jiji la Dar es salaam, najua ni changamoto ndo maana nimeandika huu uzi ila isingekua changamoto nisingemwaga wino hapa.
Ndugu zangu nisaidieni ntapata vipi hii connection yakupata hata matangazo ya kazi za utendaji ndani ya hili jiji kwasababu ni mji ambao matangazo ya kazi yakitoka kazi kama hizi ni ngumu sana kupata.
Apa najua wengi mtanishangaa kwanini usi apply sehem nyingine, ukweli ni kwamba tangu nimemaliza chuo nipo town na familia inanitegemea nipo nayo na nina vimishe mishe vyangu vya kuniingizia tonge mdomoni ambavyo nikiondoka tu kwenye hili city ntaharibu kila kitu.
Ukizingatia mshahara wa utendaji sio mkubwa sana kuna kipindi nilijaribu kuhama mji kubadili mazingira nikaharibu kila kitu nikaanza upya tena ikumbukwe nna watu nyuma yangu.
Kwaiyo natamani niingie kwenye system nikiwa hapa hapa Dar na kitu kikubwa nimegundua ni mtu ambaye naweza kufanya kazi iyo kwa experience ya mtaa, ni mtu ambaye nafuatwa sana na watu kuwasaidia mambo mbali mbali ukiwa pamoja na ushauri.
Kwa kifupi ndugu zangu nisaidieni connection niingie kwenye system hapa hapa town.
Uzi tayari.
Mimi ni mtanzania msaka tonge kama wasaka tonge wengine nakumbuka mwaka 2016 nilihitimu diploma yangu katika chuo kinachotambuliwa na serikali ya Tanzania, nina vyeti vitatu apa nilipo cha NTA Level 4,5,6 ila najua kwa kazi niliyoikusudia apo ntatumia cheti cha Level 5.
Jambo langu kubwa nahitaji msaada wa connection yakupata utendaji ndani ya jiji la Dar es salaam, najua ni changamoto ndo maana nimeandika huu uzi ila isingekua changamoto nisingemwaga wino hapa.
Ndugu zangu nisaidieni ntapata vipi hii connection yakupata hata matangazo ya kazi za utendaji ndani ya hili jiji kwasababu ni mji ambao matangazo ya kazi yakitoka kazi kama hizi ni ngumu sana kupata.
Apa najua wengi mtanishangaa kwanini usi apply sehem nyingine, ukweli ni kwamba tangu nimemaliza chuo nipo town na familia inanitegemea nipo nayo na nina vimishe mishe vyangu vya kuniingizia tonge mdomoni ambavyo nikiondoka tu kwenye hili city ntaharibu kila kitu.
Ukizingatia mshahara wa utendaji sio mkubwa sana kuna kipindi nilijaribu kuhama mji kubadili mazingira nikaharibu kila kitu nikaanza upya tena ikumbukwe nna watu nyuma yangu.
Kwaiyo natamani niingie kwenye system nikiwa hapa hapa Dar na kitu kikubwa nimegundua ni mtu ambaye naweza kufanya kazi iyo kwa experience ya mtaa, ni mtu ambaye nafuatwa sana na watu kuwasaidia mambo mbali mbali ukiwa pamoja na ushauri.
Kwa kifupi ndugu zangu nisaidieni connection niingie kwenye system hapa hapa town.
Uzi tayari.