Napata wasiwasi na watendaji wa Rais!

Hivi kweli serikali inaweza kusema haina uwezo wa kuokoa maisha ya mtu? Huyu dokta kikwete akipunguza safari zake za nchi za nje kama 5 hivi basi tunapata CT scan mbili. Aache kutupiga mchanga wa macho hela ipo sema hawataki ku priorities majukumu. Lowassa mshkaji wao was right.. Tatizo la ccm ni uongozi he couldnt have said it better
 
CT SCAN moja inacost 700,000 dollars ni mwongo mkubwa na anastahili kuwajibishwa na rais wake kwa kumdanganya.

Hiyo ni makusudi kiongozi....wanajua bei halisi lakini ili kuwadanganya wananchi ambao walio wengi wanaishia kumsikiliza ''dhaifu'' lazima waweke bei kubwa ionekane wana mzigo mkubwa. Hata kama ni kutii mamlaka zilizowekwa hii mamlaka haifai na kwanza ilijiweka madarakani
 
elewa kuwa kunnunua tu CT SCAN siyo issue bali jumlisha na maandalizi ya mahali itakapowekwa hivyo ni muhimu kama hapa chini inavyojionyesha

the compute tomography machine costs depends upon the technology systems
siemens ------------------200000 usd approx
toshiba -------------------180000 usd approx
beckam coulter------------250000 usd approx
sharp------------------------200000 usd approx
ge----------------------------300000 usd approx
phillips ----------------------140000 usd approx



Plus software and technician time. We just got a new siemens definition and its costing 450k (minus software upgrades) so that 200k is really low ball.

There is also the cost of the Tomography room where the unit sits in. It consists of specialty HVAC system that provide perfect humidity and temp.control. Also specail independent electrical circuits to power the equipment, and RAM (radio absorbent)materials for the walls. The cost of a CT room can varry from $250,000- $750,000.

Mkuu sio kwamba sikuona hizo gharama! Mkuu ujenzi wa vyumba vya hizo CT scan ni kitu kingine! Hizo gharama za jengo ni kitu kishafanyika sisi tunahitaji mashine tu kiongozi wangu!
 
Serikali hainunui vitu kwa bei ya kawaida, kwani huwa wanaongeza walau maradufu kupata kitu kidogo. Hukusikia ofisi moja walinunua mayai kwa bei ya Tsh 8,000 kila moja na hakuna aliepelekwa jela japo kamati ya bunge iligundua wizi huo.Pathetic!
hii pia inaonyesha kwamba matatizo mengi tuliyonayo yana majibu lakini tumebakia kwenye msamiati wetu maarufu wa "wasaidizi wake ndio wanamdanganya", ni kwa nini asiseme 'sidanganyiki'!???
Sio ajabu kuwa hata hizo 'capacity charges' zinachomekwa hivyo na yeye anaindorse tu. Kwani imekuwaje kwenye hii sheria ya mafao, nayo si hayo hayo tu ya washauri wake!?

 
Mgosi hiyo bei ni sahihi kwani ni pamoja na cha juu! Unataka nyumba ya atakayekiagiza aimalizie na nini?Lakini kubwa ni hotuba katika kipindi ambacho kuna jambo ambalo tangu tupate uhuru halijawahi kutokea, yaani mgomo wa waaalimu. Mimi nilitegemea wasaidizi wake kwenye hotuba wange-focus kwenye mgomo wa waalimu tu, basi. Hapa labda angefafanua kwa undani hali ya uchumi, hali ya uzalishaji nchini, mdororo wa uchumi kwa wabia wetu wa maendeleo; mahitaji ya waalimu ukilinganisha na kipato cha serikali; pengine njia za makusudi za kupunguza matumizi ya Serikali k. m. kuondoa fedha za chai maofisini (watumishi wajinunulie wenyewe kama ilivyo ulaya) na kusitisha wilaya na mikoa mipya ili tuweze kutumia ipasavyo pesa kidogo zilizopo na ambayo labda ingewezesha ongezeko la asilimia fulani za mshahara wa waalimu. Ingeishia na rai ya kuwataka waalimu kuelewa hali halisi, na kuwasihi warejee kazini wakati jitihada za kuwaongezea zaidi zinaendelea. Nina imani waalimu wangeweza kubadilisha msimamo wao. Mahakama tunajua zina mipaka yake, serikali inaweza kumwamuru jaji (kwa vile ni mwajiriwa wake) atoe hukumu ya upendeleo. Hivyo hotuba ya Rais ingekuwa na impact kubwa kuliko ruling ya mahakama.Ikumbukwe leo ni mwaka 2012 siyo mwaka 1947! Watanzania wamebadilika, lugha ya vitisho ilikuwa zama hizo! Ukiwalizimisha kama ilivyofanyika kwa madaktari athari zake zinaweza kuwa mbaya zaidi, ni vyema watu wakaelewa na kubadilika kwa hiari yao siyo vitisho!
 
When you dont know the way and road will take you there. This is what our leaders are doing, President is speaking to the World without any reliable data. And here is where our fellows from abroad take advantage and start to find the means to oppress us. I thank God that we know the Way!!! We will reach the destiny even in their absence!!
 
Sema napata wasiwasi na rais, the buck stops with him.

Hizi habari za "rais anashauriwa vibaya" ni usanii tu wa kumstahi rais mzembe.

Rais makini akipewa figures kama hizi atauliza source, or better yet atakuwa na washauri ambao wako beyond simple verifications kama hizi.

Wanadanganya bei ya CT scanner katika zama za Google.com ?
 
elewa kuwa kunnunua tu CT SCAN siyo issue bali jumlisha na maandalizi ya mahali itakapowekwa hivyo ni muhimu kama hapa chini inavyojionyesha

the compute tomography machine costs depends upon the technology systems
siemens ------------------200000 usd approx
toshiba -------------------180000 usd approx
beckam coulter------------250000 usd approx
sharp------------------------200000 usd approx
ge----------------------------300000 usd approx
phillips ----------------------140000 usd approx



Plus software and technician time. We just got a new siemens definition and its costing 450k (minus software upgrades) so that 200k is really low ball.

There is also the cost of the Tomography room where the unit sits in. It consists of specialty HVAC system that provide perfect humidity and temp.control. Also specail independent electrical circuits to power the equipment, and RAM (radio absorbent)materials for the walls. The cost of a CT room can varry from $250,000- $750,000.






@Eaka Mangi,

CT SCAN sio kama Fotocopy mashine ukinunua peke yake unaanza kuitumia..
 
Muda mwingi anatumia ku-monitor ratiba yake ya kwenda kubadili damu...
 
elewa kuwa kunnunua tu CT SCAN siyo issue bali jumlisha na maandalizi ya mahali itakapowekwa hivyo ni muhimu kama hapa chini inavyojionyesha

the compute tomography machine costs depends upon the technology systems
siemens ------------------200000 usd approx
toshiba -------------------180000 usd approx
beckam coulter------------250000 usd approx
sharp------------------------200000 usd approx
ge----------------------------300000 usd approx
phillips ----------------------140000 usd approx



Plus software and technician time. We just got a new siemens definition and its costing 450k (minus software upgrades) so that 200k is really low ball.

There is also the cost of the Tomography room where the unit sits in. It consists of specialty HVAC system that provide perfect humidity and temp.control. Also specail independent electrical circuits to power the equipment, and RAM (radio absorbent)materials for the walls. The cost of a CT room can varry from $250,000- $750,000.

kwa hiyo total cost ni kama 550,000 usd mpaka installation
 
Safari moja ya mukulu say ya kwenda Marekani kiasi cha fedha zinazotumika kinaweza kununua CT scan ngapi?????? Nawasilisha!
 
@Eaka Mangi,

CT SCAN sio kama Fotocopy mashine ukinunua peke yake unaanza kuitumia..

Tueleze mkuu ukishainunua unaifanyaje kwanza ili itumike? na gharama za kufanya hivyo ni kiasi gani?
 
Back
Top Bottom