Napata wasiwasi na watendaji wa Rais!

Napata wasiwasi na watendaji wa Rais!

Eeka Mangi

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2008
Posts
3,173
Reaction score
485
Nilisikiliza kiasi hotuba ya rais wa JMT brother JMK jana! Alijaribu kuremba sana ingawa kwa kiasi kikubwa hakuweza kuridhisha hadhara ya Watanzania kuhusu matatizo mbalimbali.

Labda niseme tu kuwa Mtendaji ama watendaji waliompelekea kimemo pale mezani na kumdanganya Rais kuwa CT SCAN moja inacost 700,000 dollars ni mwongo mkubwa na anastahili kuwajibishwa na rais wake kwa kumdanganya. Nikiwa kwa kiasi fulani ni mdau wa afya, nimefuatilia hili na nikagundua kuwa hardly CT SCAN ghali kabisa ni 300,000USD. Tuangalie tunapotoa data ambazo sio za kweli wananchi watawaelewa vipi.

Hata hivyo utetezi wa kuwa mwenye kujua pa kununulia hiyo CT ambayo ni sawa nabei ya kilimo kwanza moja sio mzuri as angejibu tu kuwa angetuma wataalamu wafuatilie madai hayo. Kujibu kwa ujumla namna ile ni sawa na kuiamini source ya information yake ambayo sio sahihi

Below are prices of some CT(COMPUTE TOMOGRAPHY)
the compute tomography machine costs depends upon the technology systems
siemens ------------------200000 usd approx
toshiba -------------------180000 usd approx
beckam coulter------------250000 usd approx
sharp------------------------200000 usd approx
ge----------------------------300000 usd approx
phillips ----------------------140000 usd approx



Plus software and technician time. We just got a new siemens definition and its costing 450k (minus software upgrades) so that 200k is really low ball.

Naomba kuwasilisha
EM
 
Hata sio watendaji tu,yeye mwenyewe ni mbayuwayu,anapenda kuongea chochote anachooambiwa akijua mtanzania wa sasa ni yule wa 2000,kumbe wa tz sikuhuzi wanafatilia kila kitu na ukweli wanaujua,sasa yeye anashindwa hata kuuliza more than 1 operson.mdhaifu sana.
 
MKUU NAWEWE UNATAKA TUKUAMINI TUU BILA KUTUPA SOURCE YA BEI ZAKO MKUU!
TUTAJUAJE KAMA HAUJATOA KICHWANI MWAKO @Eeka Mangi
 
Serikali hainunui vitu kwa bei ya kawaida, kwani huwa wanaongeza walau maradufu kupata kitu kidogo. Hukusikia ofisi moja walinunua mayai kwa bei ya Tsh 8,000 kila moja na hakuna aliepelekwa jela japo kamati ya bunge iligundua wizi huo.Pathetic!
 
Vipi yule doctor alieambiwa akachukue hela akanunue anasubiri nini?hata kama ile figure aliyosema doctor sio sahihi angeenda ampe huyo dhaifu elimu angalau angemuelewa kuliko huyo aliemdanganya kua ni dola laki saba.sasa asije akatuambia alidanganywa kama yule mama aliepewa uwaziri wa manoti kipindi flani
 
Mkuu umenena,
Najiuliza sipati jibu,Rais wetu anaweza nini???????
Madai ya madaktari awezi!!!!!
Madai ya walimu awezi!!!!!
Sasa anawe nini jamani???
 
Serikali ya Mh JK inaonekana kushindwa kila mahali na katika sekta zote....

1. Haiwezi kulipa waalimu
2. Haiwezi kulipa madaktari
3. Haiwezi kuwajibisha mafisadi, inaishia kuwatetea
4. Haiwezi kutetea wanyonge zaidi ya kuwasaliti na kuwatekeleza
5. Haiwezi hata kulitumia vema jeshi la polisi
6. Haiwezi kuunda tume huru ya kuchunguza matukio ya kigaidi kama ya Dr Ulimboka, Zombe nk
7. Haiwezi kununua CT scan pale muhimbili na hospitali za rufaa
8. Haiwezi kuboresha miundombinu ya umeme na maji.... iliyopo ni tangu wakati wa Mwl Nyerere (RIP)
9. Haiwezi kusajili vyombo salama vya usafiri majini
10. Haiwezi kuwalipa mafao wazee wa afrika mashariki mpaka wanatuvulia nguo pale serander bridge
11. Haiwezi haiwezi.....

wadau Nisaidieni kujaza 'haiwezi' nyingine za serikali ya huyu jamaa
 
Mie nimemuelewa mh Rais, kataja bei kwa mujibu wa serikali anayoiongoza, serikali ya JMT na yeye ni Rais wa JMT. Sasa mleta hoja utueleze bei zako ni kwa mujibu wa nani? Na mara nyingi wakinunua huwa wanaongezewa bei kwa makosa ya vitabu mpaka wanarudishiwa chenchi. Labda tungemuuliza hiyo bei ya CT scan aliyoitaja yeye anategemea serikali yake watarudishiwa chenchi kiasi gani?

Lakini hata kama bei ya CT scan ingekuwa zaidi ya mashangi 10, cha kujiuliza hapa, kipi ni muhimu, afya ya waTZ au mashangingi ya viongozi? Hapa ndio muone viongozi wetu wasivyo tujali, amkeni jamani tutalala mpaka lini kufikia kujitambua?
 
Kauli yake ya jana kama kuna mtu anajua aweza pata CT-SCAN kwa bei sawa na V8 aende atampa tenda ya kusupply.So mkuu do the needful
 
Mkuu tusaidie source ya hizo bei na sisi tujiridhishe
Nilisikiliza kiasi hotuba ya rais wa JMT brother JMK jana! Alijaribu kuremba sana ingawa kwa kiasi kikubwa hakuweza kuridhisha hadhara ya Watanzania kuhusu matatizo mbalimbali.
Labda niseme tu kuwa Mtendaji ama watendaji waliompelekea kimemo pale mezani na kumdanganya Rais kuwa CT SCAN moja inacost 700,000 dollars ni mwongo mkubwa na anastahili kuwajibishwa na rais wake kwa kumdanganya. Nikiwa kwa kiasi fulani ni mdau wa afya, nimefuatilia hili na nikagundua kuwa hardly CT SCAN ghali kabisa ni 300,000USD. Tuangalie tunapotoa data ambazo sio za kweli wananchi watawaelewa vipi.
Hata hivyo utetezi wa kuwa mwenye kujua pa kununulia hiyo CT ambayo ni sawa nabei ya kilimo kwanza moja sio mzuri as angejibu tu kuwa angetuma wataalamu wafuatilie madai hayo. Kujibu kwa ujumla namna ile ni sawa na kuiamini source ya information yake ambayo sio sahihi

Below are prices of some CT(COMPUTE TOMOGRAPHY)
the compute tomography machine costs depends upon the technology systems
siemens ------------------200000 usd approx
toshiba -------------------180000 usd approx
beckam coulter------------250000 usd approx
sharp------------------------200000 usd approx
ge----------------------------300000 usd approx
phillips ----------------------140000 usd approx



Plus software and technician time. We just got a new siemens definition and its costing 450k (minus software upgrades) so that 200k is really low ball.

Naomba kuwasilisha
EM
 
Kauli yake ya jana kama kuna mtu anajua aweza pata CT-SCAN kwa bei sawa na V8 aende atampa tenda ya kusupply.So mkuu do the needful

Ha ha ha kama angekuwa mtu wa kutimiza ahadi angekuwa ni mtu safi ever! Ataishia kucheka cheka tu mkuu. He knows the fact lakini anawafanya watanzania bado ni wale watoto wa miaka ile waliokuwa wanaambiwa wototo hudondoshwa na ndege!
 
Ha ha ha kama angekuwa mtu wa kutimiza ahadi angekuwa ni mtu safi ever! Ataishia kucheka cheka tu mkuu. He knows the fact lakini anawafanya watanzania bado ni wale watoto wa miaka ile waliokuwa wanaambiwa wototo hudondoshwa na ndege!

Maswali ambayo bado yananitatiza ni kujua dhumuni la ile press conference ilikuwa nini?what was the Substance in that meeting if i may ask?:eek2:
 
kauli yake ya jana kama kuna mtu anajua aweza pata ct-scan kwa bei sawa na v8 aende atampa tenda ya kusupply.so mkuu do the needful

mmh atabisha kuwa hakutoa kauri kama hiyo!
Kumbuka sitaki kura za wafanyakazi!
 
Nilisikiliza kiasi hotuba ya rais wa JMT brother JMK jana! Alijaribu kuremba sana ingawa kwa kiasi kikubwa hakuweza kuridhisha hadhara ya Watanzania kuhusu matatizo mbalimbali.
Labda niseme tu kuwa Mtendaji ama watendaji waliompelekea kimemo pale mezani na kumdanganya Rais kuwa CT SCAN moja inacost 700,000 dollars ni mwongo mkubwa na anastahili kuwajibishwa na rais wake kwa kumdanganya. Nikiwa kwa kiasi fulani ni mdau wa afya, nimefuatilia hili na nikagundua kuwa hardly CT SCAN ghali kabisa ni 300,000USD. Tuangalie tunapotoa data ambazo sio za kweli wananchi watawaelewa vipi.
Hata hivyo utetezi wa kuwa mwenye kujua pa kununulia hiyo CT ambayo ni sawa nabei ya kilimo kwanza moja sio mzuri as angejibu tu kuwa angetuma wataalamu wafuatilie madai hayo. Kujibu kwa ujumla namna ile ni sawa na kuiamini source ya information yake ambayo sio sahihi

Below are prices of some CT(COMPUTE TOMOGRAPHY)
the compute tomography machine costs depends upon the technology systems
siemens ------------------200000 usd approx
toshiba -------------------180000 usd approx
beckam coulter------------250000 usd approx
sharp------------------------200000 usd approx
ge----------------------------300000 usd approx
phillips ----------------------140000 usd approx



Plus software and technician time. We just got a new siemens definition and its costing 450k (minus software upgrades) so that 200k is really low ball.

Naomba kuwasilisha
EM

elewa kuwa kunnunua tu CT SCAN siyo issue bali jumlisha na maandalizi ya mahali itakapowekwa hivyo ni muhimu kama hapa chini inavyojionyesha

the compute tomography machine costs depends upon the technology systems
siemens ------------------200000 usd approx
toshiba -------------------180000 usd approx
beckam coulter------------250000 usd approx
sharp------------------------200000 usd approx
ge----------------------------300000 usd approx
phillips ----------------------140000 usd approx



Plus software and technician time. We just got a new siemens definition and its costing 450k (minus software upgrades) so that 200k is really low ball.

There is also the cost of the Tomography room where the unit sits in. It consists of specialty HVAC system that provide perfect humidity and temp.control. Also specail independent electrical circuits to power the equipment, and RAM (radio absorbent)materials for the walls. The cost of a CT room can varry from $250,000- $750,000.





 
Maswali ambayo bado yananitatiza ni kujua dhumuni la ile press conference ilikuwa nini?what was the Substance in that meeting if i may ask?:eek2:
Hotuba ya Mwisho wa mwezi kupitia kwa wahariri
 
Back
Top Bottom