Napata wasi wasi

Napata wasi wasi

ww dada mbn thread zako nyingi huwa hazina kitu chochote cha kujifunza? Always nonsense tu, mara ooh! Jibaba limenipenda! Mara ooh! Maku yangu tamu, mara, nanyonyo mpnz wangu mb....o hadi anamwaga, mmh! Hizo ni thread zako. Talking nonsense
 
A man who loves u will take care of u no matter what u have,for example ni juzi tu tumekwenda site name mpenzi wangu muda wa kurudi akanambia yeye anakwenda town so akanipatia 20 ya nauli kurudi kwa ofic ,though sikumwomba and I had ma wallet with me with some cash,sikukataa bt nolishangaa sana bt that's love and sharing is caring
 
Aaaah huyo bhana anakutumia vibaya 'mis use of resource' haiwezekani asikupe hata ya kwenda kununulia sabuni ya kwenda kuogea baada ya kukuachia ma sperm na majasho yake!think twice, kukupa hela inaonyesha ni jinsi gani anacare,si kusababisha degradetion tu zen anasepa!
 
Nimeelewa concept yako achana na hao wakosoaji kila kitu,ni hivi dada angu,kumpa mtu kitu haimaanishi lazima awe na shida ila ni ishara ya upendo,mimi nina wasi wasi huyo jamaa ni mbinafsi ana tabia ya uchoyo,haiwezekani ushindwe kumnunulia mpenz wako hata chupi ya 15000 hata kama ana pesa ila ni ile unapenda kumuona amevaa au anatumia kitu ulichomnunulia au kumpa. Tatizo lililopo kwa wanaume wa kiafrika kiutafiti hatujui mahaba kama wenzetu wazungu. Inawezekana pia ni kutokana na asili yake either malezi ya kwako hawana hulka ya utoaji,nilikuwa na mpenz wangu nae alikuwa hivyo hivyo ila nilipoenda kwao nikaona wana tabia ya uchoyo maana nilipoenda kwao wao walikuwa wanauwezo sana nilikuta wote wanakula it was lunch time walinikaribisha bila kunipa maji ya kunawa ingawa sikuwa nataka kula,tena sura zao zilionesha kabisa hawataki nile na hawataki wageni wakati wa kula. Niligundua hilo kwa sababu ofcoz am a psychiatrist by professional,so dada angu hilo jamaa lako ni libinafsi au halijui mahaba kama kama kabila fulani hivi wao ni ziro ktk swala hilo,huwa hawawajali wake zao zaidi sana wanajali PESA TU.
 
mwanamke kumzoesha pesa siku huna atapeana mahala pengine ili apate pesa. mbona nyie msitupe sisi?mnafanya wanaume kama ndo mitaji yenu?co2
 
Back
Top Bottom