Napata wapi SUZUKI CARRY ya mkopo......

Napata wapi SUZUKI CARRY ya mkopo......

Malingumu

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2012
Posts
616
Reaction score
433
Wandugu habarini,
ni hivi kuna biashara soon naianza na nina uhakika nayo kuwa itakiki, ni ya kusambaza bidhaa hapa jijini Arusha, sasa katika kusambaza inahitaji gari...nimepiga hesabu gari ya kukodi itanigharimu, nimewaza kama ningepata ya kukopa halafu nikawa nalipa taratibu taratibu ingekuwa afadhali kwangu...
kama kuna anayejua kama jambo hili linawezekana na namna ya kufanya ili nifikie hilo lengo langu naomba ushauri wake....
asanteni...
target yangu ni SUZUKI CARRY... maana hii kidogo iko chini kwa ulaji wa mafuta...
 
Hebu wachek assetstz wanapage yao instagram wanakopesha vitu vingi vingi lkn uwe na asilimia 50% mkononi then riba nayo asilimia 20%
 
aa
Hebu wachek assetstz wanapage yao instagram wanakopesha vitu vingi vingi lkn uwe na asilimia 50% mkononi then riba nayo asilimia 20%

Asante...nitawacheki
 
Back
Top Bottom