Napata shida na hii namba

Napata shida na hii namba

piga window chini!

Anza upya kuweka mafaili mapya!

Kumbuka, usiweke anti virus, ilil iwe rahisi kupoteza kumbukumbu na mafail yawe rahisi kuliwa!
 
Tafuta ufutio halafu uchemshe, baada ya kuchemka ipua na kunywa maji yaliyotumika kuchemshia ufutio huo.

Baada ya nusu saa utakuwa umeifuta hiyo namba na hutaikumbuka tena.

Haahhahaahhahha,huu ushauri funga kazi,
Kazi ni kwako mleta uzi.
 
There is a very good rehab called brain overhaul jaribu hiyo
 
Tupia namba wakuu wakusaidie kukariri
 
haahaa huwa mnahangaika kuzikariri za nini?
kuwa bizy na kumeza no, za ATM card ili zile ziondoke,
 
Back
Top Bottom