tumiakichwa
Member
- Jan 26, 2014
- 44
- 10
- Thread starter
- #21
duuh hadi hapa cjapata hata jibu,jaman wenye uelewa bhasi mje jukwani!
Yani wewe haaaaa!!!
nahisi ukiombwa hela ya mboga unauliza "ile ya mchana imeisha? Imeisha ishaje mbona ilikuwa nyingi"
i can't u
Hahaaaaaaa!!! Kumbe tupo wengi wenye maswali ya hivi
Wadau habarini za jion!
Jaman mwenzenu naomba mnisaidie kitu kimoja mana tangu niikariri namba ya huyu mwanamke yaani ina shida tupu,kwa hiyo naomba mnisaidie ili niweze kuifuta kichwani mwangu!
Ni hayo tu wanajukwaa!!!
kaka salt jamaa mwenyewe ndo mimi ila mtoto bhado sijamseti vizuri ila ananisumbua kusudi tu na mbaya zaid namba yake ndo iyo imekaa kichwan
Wewe huyo salt sio kaka alaahh
jamani hii avatar ya bundi dah,rudisha ya mwanzo bhana
ila kuna vitu siyo vyakuanzisha thread,,i know its a free world,ila it doesnt mean its free for abuse..Wadau habarini za jion!
Jaman mwenzenu naomba mnisaidie kitu kimoja mana tangu niikariri namba ya huyu mwanamke yaani ina shida tupu,kwa hiyo naomba mnisaidie ili niweze kuifuta kichwani mwangu!
Ni hayo tu wanajukwaa!!!
Wewe huyo salt sio kaka alaahh
hahaha!Tafuta ufutio halafu uchemshe, baada ya kuchemka ipua na kunywa maji yaliyotumika kuchemshia ufutio huo.
Baada ya nusu saa utakuwa umeifuta hiyo namba na hutaikumbuka tena.