Napata shida kwenye vita ya Israel na Palestine

Napata shida kwenye vita ya Israel na Palestine

leodigardcyrilo

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2015
Posts
3,405
Reaction score
1,815
Kwan kati ya Hamasi na Israel nani hana huruma kwa Raia, Hamas wanashikiria mateka kumi wa Israel. Israel kasema vita kuisha inabidi mateka wake waachiwe vita iishe kwnini Hamas wanapiga kelele kuwa Israel anaua raia na wao wasiwaachoe hao mateka raia wakaishi kwa aman
 
Hiyo ndio Kinga yao, kama wakiwaachia tu watasagwa kama mahindi
 
HAMAS ana hamu ya kupigina bado na kutesa Wapalestina
 
Hao hata wakiwaachia watawapiga tu palestina na huko israel kuna wafungwa kibao wa ki palestina
 
Kwan kati ya Hamasi na Israel nani hana huruma kwa Raia, Hamas wanashikiria mateka kumi wa Israel. Israel kasema vita kuisha inabidi mateka wake waachiwe vita iishe kwnini Hamas wanapiga kelele kuwa Israel anaua raia na wao wasiwaachoe hao mateka raia wakaishi kwa aman

Kwani nani kakwambia HAMAS akiachia mateka vita itakwisha?

Au CCM akikwambia uchaguzi utakuwa wa haki na wewe unaamini?

Au hata hukuwahi kuyasikia machozi ya mamba?
 
Ili vita iishe labda wapalestina woote wafe israel wakakae gaza yote hapo hawatoweza kujipiga wenyewe ila sio kuachia mateka, mateka si juzi tu Oct kabla ya hapo hakuwapiga gaza?
 
Back
Top Bottom