Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,360
- 11,514
Shemeji baada ya kuona namtengenezea mazingira mazuri ya ndoa yake na Sister akaona simu yangu imechoka sana..hapa naandika nikiwa nmei connect kwenye charge moja kwa moja.
Mtu akinitingisha tu ikachomoka inazima. Basi shem ameonekana kutambua Juhudi zangu na kunipa offer ya kuninulia simu. Anyway haya mengine ni mambo ya kifamilia. Ngoja ni nyooke kwenye point.
Mnaionaje Hii NOKIA G21 kwa sifa na bei yake haizidi 500,000. Kwa wale wanaozifahamu Nokia. Hii ni ya mwaka 2022 February. Je inastahili badala ya xiomi, one plus,redmi na vivo za the same price?
Yaani ingetokea unaambiwa uchague hii Nokia G 21 na Vivo, Xiomi, Redmi,One Plus au Huawei yenye thamani hiyo hiyo ungechagua ipi? Isizidi tsh 500,000.
Wazoefu na Wataalamu please.
Mtu akinitingisha tu ikachomoka inazima. Basi shem ameonekana kutambua Juhudi zangu na kunipa offer ya kuninulia simu. Anyway haya mengine ni mambo ya kifamilia. Ngoja ni nyooke kwenye point.
Mnaionaje Hii NOKIA G21 kwa sifa na bei yake haizidi 500,000. Kwa wale wanaozifahamu Nokia. Hii ni ya mwaka 2022 February. Je inastahili badala ya xiomi, one plus,redmi na vivo za the same price?
Yaani ingetokea unaambiwa uchague hii Nokia G 21 na Vivo, Xiomi, Redmi,One Plus au Huawei yenye thamani hiyo hiyo ungechagua ipi? Isizidi tsh 500,000.
Wazoefu na Wataalamu please.