Napata maumivu kwenye bega la kushoto

Napata maumivu kwenye bega la kushoto

Junior mafia

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2018
Posts
264
Reaction score
352
Wakuuu msaada tafadhali,

Nina mwezi wa pili sasa Nina maumivu na kizungu zungu, kisicho Isha Hali hii ilinipata nikiwa usingizini ,nilihisi kichwa kina ganzi na maumivu makali ,ghafla nilistuka na nikajua ni ndoto lakin baada ya kurudi kulala sasa ndo ganzi ikaja kwa nguvu na nilihisi kuchanganyikiwa , niliona Hali ingekuwa mbaya zaidi nikakimbilia kituo Cha afya ili kujiokoa.

Nilipofika nikapimwa mararia, pressure na sukari lakin havikuwepo dk alirudia Mara 2 lakin hakuona chochote, nkawapigia ndugu waje pale kituoni kunipa kampan maana nilihisi ndo mwisho umefika ,
Dr.alinichoma sindano ambayo ilipunguza maumivu kichwani na kizungu zungu kilipungua , asubuhi nikaruhusiwa kutoka niliogopa kukaa hata kwangu maana naishi

Mwenyewe tulipfika ile Hali ilijirudia nikawa Kama nimechanyikiwa ,lakin baada ya muda nka kaa sawa ,siku zikaenda nikiwa nashindwa kupata usingiz kwa sababu ya hofu ,hapo ndio tatizo la kuumwa upande wa bega likaanza , mwili unakosa nguvu ,mstuko viungo kufa ganzi ikanibidi nirud mkoani nyumban, huku ofu ilipungua nikaenda kupima Tena hospital.

PRESHA ,iko kawaida
Sukari -haina shida
Wingi wa damu- Haina shida
Kuganda kwa damu - hamna shida
Protein kwenye damu pia iko sawa
Figo ipo sawa
Hapo niliwaza sana kilichokutwa Ni uti tu (nikaitibu nkapona)

Kwa sasa mwili unakosa nguvu, usiku nastuka Mara kwa Mara ,kichwa chepesi kanakwamba naanguka hiv presha ipo kawaida kila nikipima ,japo uzito ndio naona kidogo Ni tatizo

Lakin nahitaji msaada wenu wamawazo na matibabu pia natanguliza shukrani

#mzizi mkavu #Mshana jr
 
Nenda kwenye hosp za rufaa ukutane na madaktari bingwa na vipimo vikibwa zaidi...utapata msaada
 
Wakuuu msaada tafadhali,

Nina mwezi wa pili sasa Nina maumivu na kizungu zungu, kisicho Isha Hali hii ilinipata nikiwa usingizini ,nilihisi kichwa kina ganzi na maumivu makali ,ghafla nilistuka na nikajua ni ndoto lakin baada ya kurudi kulala sasa ndo ganzi ikaja kwa nguvu na nilihisi kuchanganyikiwa , niliona Hali ingekuwa mbaya zaidi nikakimbilia kituo Cha afya ili kujiokoa.

Nilipofika nikapimwa mararia, pressure na sukari lakin havikuwepo dk alirudia Mara 2 lakin hakuona chochote, nkawapigia ndugu waje pale kituoni kunipa kampan maana nilihisi ndo mwisho umefika ,
Dr.alinichoma sindano ambayo ilipunguza maumivu kichwani na kizungu zungu kilipungua , asubuhi nikaruhusiwa kutoka niliogopa kukaa hata kwangu maana naishi

Mwenyewe tulipfika ile Hali ilijirudia nikawa Kama nimechanyikiwa ,lakin baada ya muda nka kaa sawa ,siku zikaenda nikiwa nashindwa kupata usingiz kwa sababu ya hofu ,hapo ndio tatizo la kuumwa upande wa bega likaanza , mwili unakosa nguvu ,mstuko viungo kufa ganzi ikanibidi nirud mkoani nyumban, huku ofu ilipungua nikaenda kupima Tena hospital.

PRESHA ,iko kawaida
Sukari -haina shida
Wingi wa damu- Haina shida
Kuganda kwa damu - hamna shida
Protein kwenye damu pia iko sawa
Figo ipo sawa
Hapo niliwaza sana kilichokutwa Ni uti tu (nikaitibu nkapona)

Kwa sasa mwili unakosa nguvu, usiku nastuka Mara kwa Mara ,kichwa chepesi kanakwamba naanguka hiv presha ipo kawaida kila nikipima ,japo uzito ndio naona kidogo Ni tatizo

Lakin nahitaji msaada wenu wamawazo na matibabu pia natanguliza shukrani

#mzizi mkavu #Mshana jr
Kwanza usiingize mawazo yoyote yakipuuzi sijui Imani sijui nini.. Hayo ni matatizo ya Nerves. Nenda hospital onana na daktari wa Mifumo ya fahamu. Tatizo hasa lazima limeanzia kwenye uti wa mgongo.. Kubwa unaposali mwombe Mwenyezi Mungu akujalie /awajalie madaktari kubaini tatizo halisi na chanzo chake na matibabu au suluhu sahihi la tatizo Hilo.
Sio unashida ya nerve halafu unaenda kuombewa kwa wapiga makelele mara waguse kichwa wakusukume.. Utakufa.
Kama Sala ni zile za utulivu zenye kuleta Amani moyoni mpaka unaweza kupata usingizi ukalala.
Nenda hospital haraka onana na specific docta.
Mengine nayahifadhi.
 
Nashukuru nilipata kipimo Cha ECG
Kuna shida imeonekana nimeanza kutumia dawa , Mungu abariki nipate nafuu
Dawa Ni za kupunguza lehemu na kupunguza uzito wa damu
Asanteni nitaendelea kutoa mrejesho
 
Nashukuru nilipata kipimo Cha ECG
Kuna shida imeonekana nimeanza kutumia dawa , Mungu abariki nipate nafuu
Dawa Ni za kupunguza lehemu na kupunguza uzito wa damu
Asanteni nitaendelea kutoa mrejesho
Pole kijana Mungu akuponye nakuombea
 
Kwa tatizo ulilolielezea kwenda kituo kidogo cha afya sio mbaya kwa ajili ya huduma ya kwanza na ushauri tu...ila kwa dalili hizo inapaswa Mtu kuwahi Hospitali zenye uwezo zaidi wa rasilimali Watu (Madaktari) wa juu, vitendea kazi (mashine za vipimo) n.k. bila kujali hapo Kituoni wamekushauri vipi.
 
Kwa tatizo ulilolielezea kwenda kituo kidogo cha afya sio mbaya kwa ajili ya huduma ya kwanza na ushauri tu...ila kwa dalili hizo inapaswa Mtu kuwahi Hospitali zenye uwezo zaidi wa rasilimali Watu (Madaktari) wa juu, vitendea kazi (mashine za vipimo) n.k. bila kujali hapo Kituoni wamekushauri vipi.
Nitalifanyia kazi
 
Nashukuru nilipata kipimo Cha ECG
Kuna shida imeonekana nimeanza kutumia dawa , Mungu abariki nipate nafuu
Dawa Ni za kupunguza lehemu na kupunguza uzito wa damu
Asanteni nitaendelea kutoa mrejesho
Cut that weight brethren,haya mauzito makubwa siku zote ni majanga sana,fanya mazoezi mepesi kila siku na kula vyakula chukuchuku kwa wakati huu mpaka utakapokuwa normal,hapo najua lazima utakuwa umeandikiwa kutumia atrovastatin kama sikosei,relax kila kitu kitakaa sawa,changanya na maombi ya kila siku itakusaidia,pole sana...
 
Wakuuu msaada tafadhali,

Nina mwezi wa pili sasa Nina maumivu na kizungu zungu, kisicho Isha Hali hii ilinipata nikiwa usingizini ,nilihisi kichwa kina ganzi na maumivu makali ,ghafla nilistuka na nikajua ni ndoto lakin baada ya kurudi kulala sasa ndo ganzi ikaja kwa nguvu na nilihisi kuchanganyikiwa , niliona Hali ingekuwa mbaya zaidi nikakimbilia kituo Cha afya ili kujiokoa.

Nilipofika nikapimwa mararia, pressure na sukari lakin havikuwepo dk alirudia Mara 2 lakin hakuona chochote, nkawapigia ndugu waje pale kituoni kunipa kampan maana nilihisi ndo mwisho umefika ,
Dr.alinichoma sindano ambayo ilipunguza maumivu kichwani na kizungu zungu kilipungua , asubuhi nikaruhusiwa kutoka niliogopa kukaa hata kwangu maana naishi

Mwenyewe tulipfika ile Hali ilijirudia nikawa Kama nimechanyikiwa ,lakin baada ya muda nka kaa sawa ,siku zikaenda nikiwa nashindwa kupata usingiz kwa sababu ya hofu ,hapo ndio tatizo la kuumwa upande wa bega likaanza , mwili unakosa nguvu ,mstuko viungo kufa ganzi ikanibidi nirud mkoani nyumban, huku ofu ilipungua nikaenda kupima Tena hospital.

PRESHA ,iko kawaida
Sukari -haina shida
Wingi wa damu- Haina shida
Kuganda kwa damu - hamna shida
Protein kwenye damu pia iko sawa
Figo ipo sawa
Hapo niliwaza sana kilichokutwa Ni uti tu (nikaitibu nkapona)

Kwa sasa mwili unakosa nguvu, usiku nastuka Mara kwa Mara ,kichwa chepesi kanakwamba naanguka hiv presha ipo kawaida kila nikipima ,japo uzito ndio naona kidogo Ni tatizo

Lakin nahitaji msaada wenu wamawazo na matibabu pia natanguliza shukrani

#mzizi mkavu #Mshana jr
Hapo uende Kuna Mambo matatu, mmoja Kati ya hayo ndo yanakusumbua nayo Ni Moyo, Nerves problem au panic attack
 
Cut that weight brethren,haya mauzito makubwa siku zote ni majanga sana,fanya mazoezi mepesi kila siku na kula vyakula chukuchuku kwa wakati huu mpaka utakakuwa normal,hapo najua lazima utakuwa umeandikiwa kutumia atrovastatin kama sikosei,relax kila kitu kitakaa sawa,changanya na maombi ya kila siku itakusaidia,pole sana...
Ya Ni dawa hizo hizo
 
Hapo uende Kuna Mambo matatu, mmoja Kati ya hayo ndo yanakusumbua nayo Ni Moyo, Nerves problem au panic attack
Yap sio mbaya maumivu ya kichwa ndo yapo kwa sasa nadhani Ni side effects za dawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom