Napasua Jipu.....pwaaaaaaaaaaaa

Napasua Jipu.....pwaaaaaaaaaaaa

Mi napenda sana hiyo, hata kama umechoka vp inaleta hamasa ya tendo
 
Hahahaaa..... Mie sio miguno bali ni mayowee kabisaaa..!


Napenda sana style yako,

kiukweli napataga sana ujasiri wa kuendelea na marathoni,

nikikutana na dhahama kama yako...lol...
 
si ndio maana nasema kuwa basi hata kma ni urongo......,

basi wewe nidanganye danganye tu.......,

jamani wengine sie mizuka ipo kwenye vijisauti lol...

hahaaa vile vya uongo navyo vikizidi sidhani ka poa

ila ka we wavipenda basi swadakta
 
hahaaa vile vya uongo navyo vikizidi sidhani ka poa

ila ka we wavipenda basi swadakta



Heaven on Earth,

Hivi kuna siku umeshapigaga mayowe/kuguna,

kisha ukajistukia kuwa leo umefake kupitiliza au?
 
bacha huwa wengine wanakuibia na macho maangavu hivi hivi
Yaani full kujiliza wakati hata hakuna la kujiliza
 
Last edited by a moderator:
bacha huwa wengine wanakuibia na macho maangavu hivi hivi
Yaani full kujiliza wakati hata hakuna la kujiliza


ni kweli kaka,

unajua kama ni kuibiana basi mlikuwa mmeshaanza kuibiana toka mnatongozana,

hapo mnafinalize wizi wenu tu,

kaka game ya kimya kimya siitaki hata kuisikia...lol...

sichelewi kutupa kule........
 
ni kweli kaka,

unajua kama ni kuibiana basi mlikuwa mmeshaanza kuibiana toka mnatongozana,

hapo mnafinalize wizi wenu tu,

kaka game ya kimya kimya siitaki hata kuisikia...lol...

sichelewi kutupa kule........
bacha kweli hainogi inakuwa kama mnapigana ngumi bana
Yaani kama vile hakuna unachofanya zaidi zaidi may be unamchafua
Inakuwa kama vile kila unachofanya kwake ni bure
May be hata hisia na wewe hana
 
Last edited by a moderator:
bacha kweli hainogi inakuwa kama mnapigana ngumi bana
Yaani kama vile hakuna unachofanya zaidi zaidi may be unamchafua
Inakuwa kama vile kila unachofanya kwake ni bure
May be hata hisia na wewe hana


Umeona eeeh....,

Ndo maana Mr. Rocky ninasisitiza kuwa,

heri nusu shari kuliko shari kamili mzee.......
 
mambo gani ya kuwapa majirani mfadhaiko maana sauti nyngne mmmh!
 
toba!!!! na wale tunaokuwa mabubu inakuaje.... tunaguna tu...
 
Back
Top Bottom