Umeona eeeh....,
Ndo maana Mr. Rocky ninasisitiza kuwa,
heri nusu shari kuliko shari kamili mzee.......
Ila sasa mkuu bacha isiwe ile ya kukuibia bana
Miguno ambayo hata kama unakaa kwenye nyumba haina ceiling jirani aisikie
Sio wengine wanapiga kelele za mpaka mtaa wa tatu wanasikia
Halafu umepotea sana mkuu bacha
Last edited by a moderator: