Napangisha nyumba Dodoma

Mwanamke mwanamke tu miaka 1000
 
Ninayo nyingine ipo Iringa road near kito hotel ina minazi zaidi ya hiyo na ilishaanza kuliwa uliza watu wa SUA wakusaidie jinsi mmea unavyoweza kustawi eneo ambalo mtu anahisi hauwezi kustawi
Kito Hotel ndio ipi pale??
Mi Najua Kito Bar, Kito Lodge na Ile Hotel pembeni yake ambayo Mwenye nayo Mzee Mselia alijiua kwa kujipiga risasi baada ya kuzuiwa kuuza viroba.
Embu niambie we pale Nyumba yako iko wapi nikaiangalie hiyo minazi.
 
kapicha kamoja tena kwa mbaaali, piga picha vzur hyo nyumba
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…