napangisha chumba..ubungo msewe/golani

napangisha chumba..ubungo msewe/golani

daisyvicky

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2012
Posts
343
Reaction score
198
chumba kikubwa na kizuri..madirisha mawili and gypsum..umeme upo pia plus godoro jipya la 4*6 kwa bei nzuri..room ni elfu 40 kwa mwezi kinawafaa pia wanafunzi wa udsm ni jirani na chuo.karibuni
 
Msewe sehemu gani kaka? Hakuna chumba chenye choo ndani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom