napangisha chumba..ubungo msewe/golani

napangisha chumba..ubungo msewe/golani

daisyvicky

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2012
Posts
343
Reaction score
198
chumba kikubwa na kizuri..madirisha mawili and gypsum..umeme upo pia plus godoro jipya la 4*6 kwa bei nzuri..room ni elfu 40 kwa mwezi kinawafaa pia wanafunzi wa udsm ni jirani na chuo.karibuni
 
Msewe sehemu gani kaka? Hakuna chumba chenye choo ndani?
 
Back
Top Bottom