Naozesha binti

Shaycas

JF-Expert Member
Feb 13, 2009
906
110
Kwa anayehitaji binti mrembo,msomi na mcheshi awasiliane nami haraka.yupo mmoja tu.
Sifa za muoaji:asiwe mbaguzi wa aina yoyote eg dini,kabila etc
 
Kwa anayehitaji binti mrembo,msomi na mcheshi awasiliane nami haraka.yupo mmoja tu.
Sifa za muoaji:asiwe mbaguzi wa aina yoyote eg dini,kabila etc

Chema chajiuza, kibaya chajitembeza..... upo hapo? Angekuwa ana sifa za kuwa mke, usingehitaji kumpiga mnada kama mbuzi.
 
ozesha tu!
kwani huyo binti ni mbaya kiasi gani hadi utuambie?,lol
 
Kwa anayehitaji binti mrembo,msomi na mcheshi awasiliane nami haraka.yupo mmoja tu.
Sifa za muoaji:asiwe mbaguzi wa aina yoyote eg dini,kabila etc
...Ooooops chagua cheupe, cheusi ukiokota chekundu umeliwa!!!!
 
lah! hii kweli ni yakufungia mwaka duh, ingekuwa mke ndio anapatikana hivyo basi ingekuwa ni balaa kila kukicha
 
Mbona umetoa sifa ambazo haziusiani kabisa na mke??? Umesema mrembo, msomi na mcheshi kwani umesikia watu wanataka kuoa airhostess ama receptionist wa Serena Hotel???

Hebu tupe taarifa za msingi, ili kina Xpin waweze kufanya maamuzi ya busara! Je amewahi kutumika au used???
 
Mbona umetoa sifa ambazo haziusiani kabisa na mke??? Umesema mrembo, msomi na mcheshi kwani umesikia watu wanataka kuoa airhostess ama receptionist wa Serena Hotel???

Hebu tupe taarifa za msingi, ili kina Xpin waweze kufanya maamuzi ya busara! Je amewahi kutumika au used???

Mkuu umekula senksi kwa kujali maslahi yangu. Babu yangu alikuwa na wake wa nne, nami napaswa kudumisha mila!
 
Back
Top Bottom