Kwa anayehitaji binti mrembo,msomi na mcheshi awasiliane nami haraka.yupo mmoja tu.
Sifa za muoaji:asiwe mbaguzi wa aina yoyote eg dini,kabila etc
Kwa anayehitaji binti mrembo,msomi na mcheshi awasiliane nami haraka.yupo mmoja tu.
Sifa za muoaji:asiwe mbaguzi wa aina yoyote eg dini,kabila etc
Chema chajiuza, kibaya chajitembeza..... upo hapo? Angekuwa ana sifa za kuwa mke, usingehitaji kumpiga mnada kama mbuzi.
ozesha tu!
kwani huyo binti ni mbaya kiasi gani hadi utuambie?,lol
HEHEHE!Anaweza akawa mbaya wa sura lakini vingine vikawa vizuri. Ngoja nijaribu bahati yangu nidumishe Mila!
...Ooooops chagua cheupe, cheusi ukiokota chekundu umeliwa!!!!Kwa anayehitaji binti mrembo,msomi na mcheshi awasiliane nami haraka.yupo mmoja tu.
Sifa za muoaji:asiwe mbaguzi wa aina yoyote eg dini,kabila etc
Mimi nina ubaguzi wa kitabiaKwa anayehitaji binti mrembo,msomi na mcheshi awasiliane nami haraka.yupo mmoja tu.
Sifa za muoaji:asiwe mbaguzi wa aina yoyote eg dini,kabila etc
Mbona umetoa sifa ambazo haziusiani kabisa na mke??? Umesema mrembo, msomi na mcheshi kwani umesikia watu wanataka kuoa airhostess ama receptionist wa Serena Hotel???
Hebu tupe taarifa za msingi, ili kina Xpin waweze kufanya maamuzi ya busara! Je amewahi kutumika au used???
Mmmmh!! I can see leo hutaki utani Nguli, unagonga tuSio mjane kweli??