Naota ndege inaanguka na kulipuka

Naota ndege inaanguka na kulipuka

Ni kweli.nasumbuliwa na hofu ya kushindwa.napambana nayo
Hio ni Onyo. Nakushauri ujitahidi kuwa mwangalifu zaidi unapopanga na unapotekeleza Mipango yako.. Usiwe unatanguliza Hofu ya kushindwa bali jipe moyo kwamba "Hii ngoma safari hii ninaenda kutoboa"
Halafu usiwe mwepesi kuwaeleza watu Mipango yako ya kimaendeleo -kumbuka sio wote wanapendezwa na Mafanikio yako.
 
Hio ni Onyo. Nakushauri ujitahidi kuwa mwangalifu zaidi unapopanga na unapotekeleza Mipango yako.. Usiwe unatanguliza Hofu ya kushindwa bali jipe moyo kwamba "Hii ngoma safari hii ninaenda kutoboa"
Halafu usiwe mwepesi kuwaeleza watu Mipango yako ya kimaendeleo -kumbuka sio wote wanapendezwa na Mafanikio yako.
Asante mkuu
 
Hapana.ila nlimuona mwanamama wa makamo
Anashahibiana na mke wa kiongozi
Here we Go......

Kuna jambo unafanya. Hili jambo unalofanya au unalowaza halipendezi.

Na hili jambo kila ukilifanya lazima uote ndoto hii inajirudia kwa sababu bado unalifanya mara kwa mara.

Unatakiwa ujue kila inapotokea hii ndoto unakuwa unafanya jambo gani siku hiyo

Achana nalo
 
Hapana.ila nlimuona mwanamama wa makamo
Anashahibiana na mke wa kiongozi
Here we Go......

Kuna jambo unafanya. Hili jambo unalofanya au unalowaza halipendezi.

Na hili jambo kila ukilifanya lazima uote ndoto hii inajirudia kwa sababu bado unalifanya mara kwa mara.

Unatakiwa ujue kila inapotokea hii ndoto unakuwa unafanya jambo gani.

Achana nalo
Labda mkuu
Narudia tena👆👆
 
Here we Go......

Kuna jambo unafanya. Hili jambo unalofanya au unalowaza halipendezi.

Na hili jambo kila ukilifanya lazima uote ndoto hii inajirudia kwa sababu bado unalifanya mara kwa mara.

Unatakiwa ujue kila inapotokea hii ndoto unakuwa unafanya jambo gani.

Achana nalo

Narudia tena👆👆
Bado.hata we mwenyewe huna uhakika na unachonishauri.
Mi mwenyewe sijui.
Asante Kwa ushauri mkuu
 
Inajirudia Kila baada ya muda
Ndege ni kubwa sana ya abiria.kama hizi za mashirika makubwa hizi Boeing

Inapoteza muelekeo na kuangukia kuelekea chini na mlipuko wake mkubwa hauachi kitu.

Ni zaidi ya mara moja

Sielewi
In fact,
katika ulimwengu wa roho,
hilo ni kama onyo kali unapewa dhidi yako mwenyewe, na kwamba huenda ukaanguka vibaya sana kwa ghafla katika biashara, mahusiano, kazi au maisha yako ya kawaida kwa ujumla.

Ni anguko la ghafla lenye kishindo na athari isiyofichika mbele ya jamii. Kila mtu ataona. Na kila mtu atashangaa kulikoni itokee kwako tofauti na wakujuuavyo. Be careful na unachoelekea kukifanya au kukitenda in near future.

Tangu sasa,
mtangulize Mwenyezi Mungu katika kila kila hatua na katika kila unalotegemea kulifanya siku za usoni, otherwise anguko la ghafla la fedheha linaweza kukuumbua.

Damu ya Yesu Kristo wa Nazareth, ikufunike na kukuepusha na kila hila iliyoelekezwa kwako na wabaya wako.

kwa jina la Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, Aimen 🐒
 
In fact,
katika ulimwengu wa roho,
hilo ni kama onyo kali unapewa dhidi yako mwenyewe, na kwamba huenda ukaanguka vibaya sana kwa ghafla katika biashara, kazi au maisha yako kwa ujumla.

Ni anguko la ghafla lenye kishindo na athari isiyofichika mbele ya jamii. Kila mtu ataona. Na kila mtu atashangaa kulikoni itokee kwako tofauti na wakujuuavyo.

Tangu sasa,
mtangulize Mwenyezi Mungu katika kila kila hatua na katika kila unalotegemea kulifanya siku za usoni, otherwise anguko la ghafla la fedheha linaweza kukuumbua.

Damu ya Yesu Kristo wa Nazareth, ikufunike na kukuepusha na kila hila iliyoelekezwa kwako na wabaya wako.

kwa jina la Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, Aimen 🐒
Ndugu yangu nimekuona pm kimya. Sana Tlaatlaah
 
Bado.hata we mwenyewe huna uhakika na unachonishauri.
Mi mwenyewe sijui.
Asante Kwa ushauri mkuu
Washauri wa ndoto ni matapeli sana, unachoota wewe kipo katika maisha yako. Kama kuna mtu atakutafsiria tofauti ujue anakudanganya. Dreams reflect your being. And this is best answer I could ever give you dearest.


Shida unataka majibu ambayo yatakufurahisha. Maisha hayaendi hivyo dada yangu.

Nina uhakika asilimia 100%
Nashukuru kwa kunisikiliza.
 
Kuota ndege inaanguka na kulipuka mara nyingi huashiria hofu kubwa ya kupoteza udhibiti wa mambo yako, hofu ya kushindwa kufikia malengo makubwa, au kukabiliwa na mabadiliko makubwa na ya ghafla katika maisha yako.

Kisaikolojia na kiroho, ndoto hii haimaanishi kuwa utapata ajali halisi ya ndege. Badala yake, inaakisi kile kinachoendelea ndani ya akili na hisia zako.
Na hii Hali ya ndoto kujiendeleza inamaana gani? Yaani naota kidogo Leo halafu kesho au keshokutwa ndoto inaendelea kidogo kutoka pale ilipoishia. Imenitokea hii mara kadhaa
 
Kuna mtu aliwahi kuleta uzi wa kuota ndege inaanguka miaka kadhaa nyuma, ikaanguka ukwwli huko Kanda ya ziwa.

Kuna mwingine alileta ndoto ya ndege kuanguka pembezoni mwa mlima ikiwa na kiongozi ndani, mwezi uliopita. Yule kiongozi akapoteza cheo.

Uzoefu mchache huo, utaona yako inaangukia wapi.
 
Ndege ni kubwa sana ya abiria.kama hizi za mashirika makubwa hizi Boeing.

Hii ndege ndio muhimili wa maisha yako unataka kuhalibika alafu Kuna watu nyuma wanakutegemea.

Hii inaonesha mabadiliko makubwa,mshangao utakao kupata Katika maisha yako, unaweza kupata habari kutoka mbali zitakufanya usiwe na shaka,pia ndoto yako hii inaonesha utapata hasara kubwa Katika biashara yako kama unayo,afya yako itadhohofika,nyumba yako itaharibiwa na kupata hasara kubwa,kua duni na kupata magonjwa ya homa,ila pia unaweza kufanikiwa Kwa Kila utakacho kifanya endapo tu utazingatia jumbe ulio pewa,pia nikupe ushauri ukiota ndoto ni muhimu kuzingatia maelezo ya ndoto, maelekezo kama vile,rangi,mazingila ya ndoto na saiz ya mahali pa asili,sababu matokeo ya moto yanayo onekana Katika ndoto inaweza kubadilisha maana ya ndoto.
Naomba niishie apa 🙏🏽

Kwann ndoto yako inajirudia rudia,sababu ujumbe unao pewa kwenye ndoto ujaufanyia kazi🙏🏽.
 
Back
Top Bottom