Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,237
Ni ndoto ambayo huwa natamani siku moja itokee.
Naombea ccm imeguke vipande vipande kizaliwe chama kipya. Naombea wanajiita wapinga ufisidai wachomoke CCM na kuunda chama kipya ambacho kitaitwa chama cha kitaifa.
Nasubiri anguko kuu la CCM. Kuna mwenye mawazo tofauti na yangu?.......
Naombea ccm imeguke vipande vipande kizaliwe chama kipya. Naombea wanajiita wapinga ufisidai wachomoke CCM na kuunda chama kipya ambacho kitaitwa chama cha kitaifa.
Nasubiri anguko kuu la CCM. Kuna mwenye mawazo tofauti na yangu?.......