MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 12,695
- 31,484
Nakiri kwamba mimi siyo muumini wa majina ya kikoloni.
Wakati wa utoto wangu nilipenda na kutamani majina ya kiasili kama UHURU, VITA, KWAME, MAPINDUZI, AZIMIO, UJAMAA na mengine yanayofanana na hayo
Gone are those names kwakuwa zilikua zina reflect struggle za independence. Sasa tuna majina mapya yaki reflect uhalisia mpya. Majina yanayo-trend kwa sasa ni kama:
MCHAKATO, JIWE ,FIGISU, FISADI, UTOPOLO, KOLO, KIMEO, PASUA, KIMBEMBE,, BEBEERU, JIPU, CHAWA, DANGA na mengineyo yanayofanana na hayo
Hakika, ukimpa mwanao, utakua umeutendea haki uhalisia mpya
Wakati wa utoto wangu nilipenda na kutamani majina ya kiasili kama UHURU, VITA, KWAME, MAPINDUZI, AZIMIO, UJAMAA na mengine yanayofanana na hayo
Gone are those names kwakuwa zilikua zina reflect struggle za independence. Sasa tuna majina mapya yaki reflect uhalisia mpya. Majina yanayo-trend kwa sasa ni kama:
MCHAKATO, JIWE ,FIGISU, FISADI, UTOPOLO, KOLO, KIMEO, PASUA, KIMBEMBE,, BEBEERU, JIPU, CHAWA, DANGA na mengineyo yanayofanana na hayo
Hakika, ukimpa mwanao, utakua umeutendea haki uhalisia mpya