Naona CCM inakwenda kumeguka

Naona CCM inakwenda kumeguka

Pole pole hana wafuasi anajidanganya.....asubiri 2025 akiwa raia kawaida bila income yeyote ndio bye bye atajuta kwa njaa Subiria mpe muda mtupu sana wala wasimpe kesi wamuache tu
 
Ccm wakiacha polepole akaendelea kutamba kwa ujasiri na msimamo alionao basi hakika itameguka kipande kikubwa maana nguvu ya upinzani inamega hapa na wanamuacha polepole anamega kule KAZI IENDELEE...
Sijawahi kuwaza kuwa CCM lakini CCM kumeguliwa na nguchiro kama huyo ni ndoto.
Kama ma giant kama Lowasa walishindwa ni huyu mtoto anayecheza singeli huko insta?
 
Ccm wakiacha polepole akaendelea kutamba kwa ujasiri na msimamo alionao basi hakika itameguka kipande kikubwa maana nguvu ya upinzani inamega hapa na wanamuacha polepole anamega kule KAZI IENDELEE...
Wacha aimege tu. Tumelichoka dubwana CCM
 
Wewe mtu acha maneno yako,Kama Ni kutikisika CCM Basi mtikisaji alikuwa ni Lowasa,hao wengine Ni sawa na nyasi moja kudondoka juu ya nyumba harafu utegemee nyumba kuvuja.

Bado Sana,na CCM bado ipo Sana.

CCM daima,
 
Hayo maneno ya CCM kumeguka nimeanza kuyasikia tangu nikiwa kijana mdogo ila hadi leo haijameguka.[emoji2]
Usidhani waliokua wanasema hivyo uko nyuma walikosea.hicho chama kina makundi na kinachowafanya usiyaone ni nguvu ya mwenyekiti wao kua na kofia mbili.ata ivyo kwa chama kikongwe kama ccm kuanguka kwake ni mchakato wa muda mrefu kadri miaka inavyoenda.
 
Mwana CCM yoyote nje ya CCM ni sawa na samaki nje ya maji.7
 
Ccm wakiacha polepole akaendelea kutamba kwa ujasiri na msimamo alionao basi hakika itameguka kipande kikubwa maana nguvu ya upinzani inamega hapa na wanamuacha polepole anamega kule KAZI IENDELEE...
Ccm iliacha kumeguka kipindi Cha Edo haitakuja kumeguka ila tu usaliti na unafiki hautaisha mpka mwisho wa dahari..
 
CCM has been slowly dying tangu Kikwete ashike Madaraka. Napata na Wasiwasi Mama Samia kama atagombea 2025
Samia hawez kugombea uRais asilan abadani, kuwe na jua au na mvua, ccm Ni dude kubwa ambalo kuliweza unahitaji akili ilee ya USA ya sep/11. Unakunja mkono wa shati, mwingine unauacha, [emoji15][emoji15][emoji15][emoji3][emoji3]
 
Atatulizwa Tu Kwani Rashid Gwajima Yupo Wapi Sasa Hivi
 
Bahati mbaya hawajuhi kuwa Polepole anapasha maji moto ambayo yapo nyuzi joto 60 kuyafi nikisha 100 ni "calories" kidogo tu zinahitajika.... awamu ya mwenda zake imetuonyesha alama za jinsi ya kuwatambua majambazi wote...
Andrew Chenge, Ngereja na Tibaijuka wana akili Sana, wamekaa pembeni kuusoma mchezo wakati Nape, Makamba, Diallo, Sospeter, nk wameamua kurukia juu kwa juu, tupo tunawazoom tu huku vijijini..
 
Jamaa anatka kuogopwa San waliondoka kina membe lowasa na chama Kiko imara sas yeye. Mtu wa vietee
 
Kimsingi CCM sio chama cha siasa, bali ni kikundi cha dola kilichojivika koti la chama cha siasa. Namna nzuri ya kumaliza genge hili haramu ni kutokea machafuko pekee.
maneno ya CCM kumeguka nimeanza kuyasikia tangu nikiwa kijana mdogo ila hadi leo haijameguka.😃
 
Kama Lowasa hakuweza imega fisiemu kivile basi tutasubiri sana kumeguka kwake kama Polepole ndiye anayetarajiwa kuimega.
 
Polepole ni nani kwani

Ccm kaijua juzi tu nafasi kapewa kwa kuwekwa

Chama chenyewe hakijuwi

Ova
 
Back
Top Bottom