Naona BORA TUACHANE MAANA NAHISI NAKUBOA...

N.B: HUYU MWANAMKE SIO KWAMBA ANAFANYA KAZI YA BOSI,NO! ANAFANYA KAZI YAKE BINAFSI[KAZI ILE NI YAKE]. So amejiajiri.
 
Mshauri jamaa ako amtafutie huyo demu kazi
tofauti na kuuza bar, kwani nijuavyo mimi kwa mazingira ya bar ......mh..
ni chakula ya watu....
Ina maana watu wasifanye kazi za bar?? Sio kosa kufanya kazi bar, nadhani kitu cha kuhimi ni jinsi ya kuji-behave na kuzidi kuwa mwaminifu kwa mwenzi wake.
 
N.B: HUYU MWANAMKE SIO KWAMBA ANAFANYA KAZI YA BOSI,NO! ANAFANYA KAZI YAKE BINAFSI[KAZI ILE NI YAKE]. So amejiajiri.

Duuuh we shemeji hufai hata kidogo yaani ndo umeamua kuja kumrusha mdogo wangu humu!namfikishia habari
 
demu akishakuwa na kiburi jua anasehem nyingine ya kupumzikia au mapenzi kwa jamaa ilikuwa zamani-mwambie atafute mwingine
 
Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Nina rafiki yangu wa kiume,mshikaji wangu sana anasema ana demu ila hamuelewi elewi. Story kwa kifupi iko hivi.. Demu anafanya kazi yake kwenye maeneo ambayo yanawahusisha sana wanaume yaani Restaurant & Bar. Sasa mshikaji anadai wanapendana na huyo demu ila demu ana mambo mengi ambayo huyu jamaa hayakai sawa kwake. Mfano,demu akiwa job kwake mara ashikwe shikwe,mara apewe ofa za kunywa bia akinunuliwa na wateja wake,anatongozwa mara kwa mara. Sasa jamaa anasema kila akijaribu kumuelimisha demu wake namna ya kuwa mstaarabu anaambulia majibu haya toka kwa demu wake "sikia,hapa nipo kazini unajua,na mimi ni mwanamke natakiwa niongee na watu vizuri ili nifanye kazi yangu vizuri. Hata nikitongozwa we usiwe na noma coz siwezi kuwakubalia wote na niko kazini,na please ukiona napewa ofa na wanaume wenzio usilete mambo ya wivu hapa,naomba utulie! Sawa? Au bora tuachane maana nahisi nakuboa sana japo nakupenda".
Sasa huyu bro anasema kauli hiyo ilimboa sana,zaidi ni pale kila mara demu anapomwomba aachane naye kwa kisingizio cha kuwa anahisi anamboa bwana'ke. Sasa je,hapa kuna mapenzi ya dhati kweli? Na huyu bro afanyeje ili kukabili hali hiyo,na kwani demu hawezi kujiheshimu na kazi ikaendelea kama kawa yaani wateja wakaja vile vile? Ushauri na maoni yenu wadau ni muhimu sana. Jamaa atapita hapa ntamwonesha kilichojiri na ili afanya maamuzi ya busara.
Kwenu wadau.

Sijui kama kuna aliye'note hilo hapo kwenye red,ajiachie kwanza amechelewa
 
Hili ni tatizo lingine la kulelewa...nahisi donation kubwa ya bugdet pale home inaletwa na dem..let her do her job!! AAche wivu bana!!
i
ilo linawezekana ndio maana jamaa anashindwa kuachia ngazi
 
Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Nina rafiki yangu wa kiume,mshikaji wangu sana anasema ana demu ila hamuelewi elewi. Story kwa kifupi iko hivi.. Demu anafanya kazi yake kwenye maeneo ambayo yanawahusisha sana wanaume yaani Restaurant & Bar. Sasa mshikaji anadai wanapendana na huyo demu ila demu ana mambo mengi ambayo huyu jamaa hayakai sawa kwake. Mfano,demu akiwa job kwake mara ashikwe shikwe,mara apewe ofa za kunywa bia akinunuliwa na wateja wake,anatongozwa mara kwa mara. Sasa jamaa anasema kila akijaribu kumuelimisha demu wake namna ya kuwa mstaarabu anaambulia majibu haya toka kwa demu wake "sikia,hapa nipo kazini unajua,na mimi ni mwanamke natakiwa niongee na watu vizuri ili nifanye kazi yangu vizuri. Hata nikitongozwa we usiwe na noma coz siwezi kuwakubalia wote na niko kazini,na please ukiona napewa ofa na wanaume wenzio usilete mambo ya wivu hapa,naomba utulie! Sawa? Au bora tuachane maana nahisi nakuboa sana japo nakupenda".
Sasa huyu bro anasema kauli hiyo ilimboa sana,zaidi ni pale kila mara demu anapomwomba aachane naye kwa kisingizio cha kuwa anahisi anamboa bwana'ke. Sasa je,hapa kuna mapenzi ya dhati kweli? Na huyu bro afanyeje ili kukabili hali hiyo,na kwani demu hawezi kujiheshimu na kazi ikaendelea kama kawa yaani wateja wakaja vile vile? Ushauri na maoni yenu wadau ni muhimu sana. Jamaa atapita hapa ntamwonesha kilichojiri na ili afanya maamuzi ya busara.
Kwenu wadau.

Ukiifuatilia kwa makini kauli hiyo hapo juu inaonyesha Huyu 'demu' sijui kwa nini umeamua kumuita hivi, ameshaongea sana na mshkaji wako kuhusu nature ya kazi yake na pengine jamaa yako kwa makusudi au bahati mbaya kashindwa kumuelewa ndio maana kaamua kusema hivyo.
Sasa hii inamaanisha nini?..Kwa sababu kinachofanya huyu 'binti' afanye hii biashara ni pesa na pesa ndio maisha, basi mshkaji wako aamtafutie kazi nyingine ili asipate huo usumbufu!..Vinginevyo kama hili haliwezekani nadhani 'kauli' ya 'demu' ni thabiti 'kama anakuboa achana naye'!!. Kusema abadilike kwa nature ya hiyo kazi ni ngumu kidogo atafukuza wateja.
 
"sikia,hapa nipo kazini unajua,na mimi ni mwanamke natakiwa niongee na watu vizuri ili nifanye kazi yangu vizuri. Hata nikitongozwa we usiwe na noma coz siwezi kuwakubalia wote na niko kazini,

Hawezi kuwakubalia wote lakini kuna wachache anawakubalia. Hamna kitu hapo kaka SEPA
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom