Frankdaniel711
JF-Expert Member
- Oct 8, 2018
- 366
- 140
Wana jf Nina tazizo naomba mnisaidie; Mimi natumia Facebook bila tatizo lolote lakin tangu ni weke mfumo wa security ili kutumiwa code nikitaka Ku login imekuwa tatizo kwangu, kipindi cha mwanzo nilikuwa naandika namba/email kisha naweka paswed yangu alafu Facebook wananitumia code ili ni login lakin kwa sasa hawatumi code nimesha toa taarifa Facebook kupitia account ya rafiki yangu lakin kimy Nina miezi ZAID ya mitatu sasa nimesha kata tamaa kuipata account yangu NAOMBENI MNISAIDIE WANA JF