starlink ndo best solutionWakiamua kuzima hata utumie vpn ya mizimu na majini hazishiki we tulia tu usije ukatapeliwa
Kuelekea kesho huenda huduma za internet nchi zikqzimwa hivyo wadau naombeni vpn ya uhakika mapema kabisa
Wakiamua kuzima hata utumie vpn ya mizimu na majini hazishiki we tulia tu usije ukatapeliwa
Ameomba VPN, mkimshauri sana atachanganyikiwa..Tumia starlink
Na hiyo 1111 bila kulipia 2700 hauwezi kutoboa Itakuwa inakatakata asipolipiaAmeomba VPN, mkimshauri sana atachanganyikiwa..
Achukue 1111.. inapiga mzigo vizuri
Turbo yule sungura anachoka mapema
Wameshaanza tayariKuelekea kesho huenda huduma za internet nchi zikqzimwa hivyo wadau naombeni vpn ya uhakika mapema kabisa
Chaguo ni lake, au atulie wakizima awasiliane offline tu vinatoshaNa hiyo 1111 bila kulipia 2700 hauwezi kutoboa Itakuwa inakatakata asipolipia
imeruhusiwa Tanzania..?starlink ndo best solution
Exactly 💯 😂 😁Chaguo ni lake, au atulie wakizima awasiliane offline tu vinatosha
Ukisubiri ruhusa tanzania hii utachelewa sana..imeruhusiwa Tanzania..?
You can access it via kenya or roaming but it's illegalimeruhusiwa Tanzania..?
Jaribu Proton VPN ila wakikata mkonga huna ujanja.Kuelekea kesho huenda huduma za internet nchi zikazimwa hivyo wadau naombeni VPN ya uhakika mapema kabisa.