Naombeni Ushauri

Naombeni Ushauri

Ha ha haa. Inafurahisha kuona watu wasio fahamiana zaidi us kumuona i'd zao tu wanavyo rushiana maneno.
 
Duh we jambaz wa ajab, hamna jambaz mwoga,,, tafta papuch mingi, piga show, itakayokutosha hyohyo, icyokutosha tupa kule
 
suala la maumbile haliusiki sana! mapenz ni ubunifu pindi muwapo sita kwa sita!
 
Hahaaaa kanjibai una kibamiaaa!!!
Mimi ni kijana umri wa miaka 25 sijawahi kuwa na mahusiano yoyote na msichana yeyoote haya ni kwasababu ya uume wangu kuwa mwembamba na mfupi.

Nahofia kudharaulika na atakaye kuwa mpenzi wangu sababu sitamridhisa kwenye mapenzi na mwisho kusalitiwa.

Naombeni msaada wenu nifanye nini ili nami nikiwa na mpenzi nimridhishe!
 
Hahaaaaaaa mkuu kumbe twalingana miaka..!!

Sasa mbona hapo juu umesema 25yrs.
Kipindi hicho ndiyo nafunguliwa a/c sikuwa najua jinsi ya kufungua, nilikuwa mtembeleaji tu.... Nikaona ngoja na mm nianzishe thread ikanijia wazo kama hili, 100% haina ukweli
 
ungesema kibamia tu...kwa kukushauri wewe usihofu ukifikisha 30 kitakuwa, ila kingine ni kwamba kama o level ulipia bios kuna kitopic ndani kuna theory of use and dis use of organ, kwa kuthibitisha theory hio siku ukioa kitakuwa/(grow) tu maana huo mziki wa kila siku lazima utashangaa... ni hayo tu dogo hofu ondoa.
 
Pamoja sana Kanjibai nakukubali mzee..
Kipindi hicho ndiyo nafunguliwa a/c sikuwa najua jinsi ya kufungua, nilikuwa mtembeleaji tu.... Nikaona ngoja na mm nianzishe thread ikanijia wazo kama hili, 100% haina ukweli
 
Mimi ni kijana umri wa miaka 25 sijawahi kuwa na mahusiano yoyote na msichana yeyoote haya ni kwasababu ya uume wangu kuwa mwembamba na mfupi.

Nahofia kudharaulika na atakaye kuwa mpenzi wangu sababu sitamridhisa kwenye mapenzi na mwisho kusalitiwa.

Naombeni msaada wenu nifanye nini ili nami nikiwa na mpenzi nimridhishe!
Uvute sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom