Kaka zangu na dada Zangu habari
Yule mwanamke amekuja jana getoni kwangu na ameniomba msamaha kwa kunichiti pia anashida ya laki Tano
Naomba ushauri nimpe na nimsamehe
Kaka zangu na dada Zangu habari
Yule mwanamke amekuja jana getoni kwangu na ameniomba msamaha kwa kunichiti pia anashida ya laki Tano
Naomba ushauri nimpe na nimsamehe
Msaliti hua hasemehewi hata siku moja,utakuja kufa kwa presha huku unajiona,
kumsamehe msaliti ni sawa na kumpa nafasi nyingine mtu aliyekukosa kwa risasi ya kwanza,
Never forgive someone who cheats in a relationship.
Kaka zangu na dada Zangu habari
Yule mwanamke amekuja jana getoni kwangu na ameniomba msamaha kwa kunichiti pia anashida ya laki Tano
Naomba ushauri nimpe na nimsamehe
Somethings Need to be Experienced... We msamehe na Mpe Laki 5 ili UJIFUNZE kuna Mambo kwenye Mapenzi hayahitaji ushauri sana maana Utatuona Tunakuonea Wivu..