Naombeni ushauri
Mimi ni kijana wa miaka 23 nipo na uhusiano na mdada wa miaka 32 ananionesha ananipenda ila mbaba wake Mimi ni mtumishi wa JWTZ yeye ni Askari police
Nataka kumuacha ila nashindwa sijui Ananifanyia dawa
Kama weye ni mtumishi wa JWTZ na baba yako ni mkuu mahala flani.. Kwanza inaonesha wewe ni mmoja ulie ingia kwa ki memo huko JWTZ maana kwa mgongo wa baba yako..
Naombeni ushauri
Mimi ni kijana wa miaka 23 nipo na uhusiano na mdada wa miaka 32 ananionesha ananipenda ila mbaba wake Mimi ni mtumishi wa JWTZ yeye ni Askari police
Nataka kumuacha ila nashindwa sijui Ananifanyia dawa
Naombeni ushauri
Mimi ni kijana wa miaka 23 nipo na uhusiano na mdada wa miaka 32 ananionesha ananipenda ila mbaba wake Mimi ni mtumishi wa JWTZ yeye ni Askari police
Nataka kumuacha ila nashindwa sijui Ananifanyia dawa