Azimio la kazi
Senior Member
- Jun 7, 2023
- 138
- 451
Habari kwenu Wana bodi,
Mimi ni Kijana wa kitanzania pia mwanafunzi wa shahada ya kwanza ya ualimu sayansi moja ya Chuo Kikuu hapa Tanzania.
Na malengo ya kuanzisha shirikisho la walimu wa masomo ya sayansi. Lengo langu ni nataka chombo hiki kitetee maslahi ya walimu hasa wa sayansi.
Naombeni ushauri. Je, mawazo yangu ni sahihi, na kama ni sahihi taratibu za usajili zipo vipi.
Asanteni sana, Mungu awabariki.
Mimi ni Kijana wa kitanzania pia mwanafunzi wa shahada ya kwanza ya ualimu sayansi moja ya Chuo Kikuu hapa Tanzania.
Na malengo ya kuanzisha shirikisho la walimu wa masomo ya sayansi. Lengo langu ni nataka chombo hiki kitetee maslahi ya walimu hasa wa sayansi.
Naombeni ushauri. Je, mawazo yangu ni sahihi, na kama ni sahihi taratibu za usajili zipo vipi.
Asanteni sana, Mungu awabariki.