Astizzle
Senior Member
- Sep 29, 2021
- 103
- 85
Nimejitolea kwenye NGO moja inadeal na usawa wa kijinsia, wameniambia niandae vitu navyohitaji kujifunza kutoka kwao lakini mimi kwa kweli sina experience yoyote naomba kwa anaejua maswala ya NGOs anisaidie niandike vitu gani vya muhimu kujifunza.
N.B nimehitimu degree ya sociology mwaka huu.
N.B nimehitimu degree ya sociology mwaka huu.
