Naombeni ushauri

Sure the Boy

Member
Aug 7, 2019
15
3
Mimi ni kijana ninasoma chuo, (SUA) Bsc Agronomy, nipo Likizo dar kwa sasa sina cha kufanya, sina hela na sina connection wakubwa naombeni ushauri wenu, nawategemea kimawazo, naweza kufanya kitu gan ambacho walau kinaweza kuwa keep nanipatia hela hata za matumiz madg madg, au hata experience kwa kipind hik cha Likizo.
 
Mimi ni kijana ninasoma chuo, (SUA) Bsc Agronomy, nipo Likizo dar kwa sasa sina cha kufanya, sina hela na sina connection wakubwa naombeni ushauri wenu, nawategemea kimawazo, naweza kufanya kitu gan ambacho walau kinaweza kuwa keep nanipatia hela hata za matumiz madg madg, au hata experience kwa kipind hik cha Likizo.
Ukipewa mbegu za papai utazifamyia nn? Ukiwa na jibu zuri niPm.
 
Back
Top Bottom