- Thread starter
- #61
Nenda kaonane na daktari bingwa
Ufanye hsg/hcg ( sina uhakika na spelling) na vipimo vingine utakavyoshauriwa na de
Kupandikiza ni hatua ya mwisho
(Ila usifanyie dar, ya dar ni chai tu)
asante sana nadhani kuna post yangu nimeshaiweka nilisaidiwa dawa mbadala humuhumu jf na sasa nina ujauzito wa miezi kadhaa