Naombeni ushauri wenu wa haraka

Naombeni ushauri wenu wa haraka

Xian

Senior Member
Joined
Mar 24, 2014
Posts
127
Reaction score
42
Samahani wapendwa, mwenzenu nimechanganyikiwa naombeni ushauri wenu. nilianza kupata maumivu kidogo tumboni sehemu ya uzazi nikaenda kupima hospitalini ni kaambiwa kila kitu kipo sawa ila ni mirija ya uzazi imezibana imeziba karibia na kizazi kabisa. nimerudi leo tena kuonana na Daktari ambaye niliambiwa atanisaidia nimemuona na ameniambia hakuna njia nyingine zaidi ya kupandikiza. Ndugu zangu kupandikiza ni million 12 hadi 15 kiukweli hizo pesa sina. naomba yoyote anayejua njia nyingine ya kuweza kunisaidia na mimi niweze kupata ujauzito. lakini mwaka juzi nilipata ujauzito ila ulitoka ukiwa na miezi 3 na nilisafishwa vizuri nina imani. naombeni ushauri wenu nimechanganyikiwa leo hata kama ni dawa za kienyeji niko tayari.

asanteni natumaini nitashauriwa vema.
 
Duh...Pole sana mkuu,ilo tatizo lako ni very sensitive...Ila Mungu atakusaidia,usichoke kumwomba.
 
Mkuu MziziMkavu, njoo usaidie hapa tunakutegemea
 
Last edited by a moderator:
Duh...Pole sana mkuu,ilo tatizo lako ni very sensitive...Ila Mungu atakusaidia,usichoke kumwomba.

asante, shetani ni mbaya kupenda kwangu sana watoto yaani ananikatisha hamu ya kuwa mama hivi hivi, siamini
 
Samahani wapendwa, mwenzenu nimechanganyikiwa naombeni ushauri wenu. nilianza kupata maumivu kidogo tumboni sehemu ya uzazi nikaenda kupima hospitalini ni kaambiwa kila kitu kipo sawa ila ni mirija ya uzazi imezibana imeziba karibia na kizazi kabisa. nimerudi leo tena kuonana na Daktari ambaye niliambiwa atanisaidia nimemuona na ameniambia hakuna njia nyingine zaidi ya kupandikiza. Ndugu zangu kupandikiza ni million 12 hadi 15 kiukweli hizo pesa sina. naomba yoyote anayejua njia nyingine ya kuweza kunisaidia na mimi niweze kupata ujauzito. lakini mwaka juzi nilipata ujauzito ila ulitoka ukiwa na miezi 3 na nilisafishwa vizuri nina imani. naombeni ushauri wenu nimechanganyikiwa leo hata kama ni dawa za kienyeji niko tayari.

asanteni natumaini nitashauriwa vema.

Calm down,usuchukue maamuzi yoyote kwanza hebu tuliza akili,jaribu kuwaona madaktari wa wanawake pamoja na madaktari wabaotibu kwa njia za asili za mitishamba,nina uhakika utapata ufumbuzi,hebu wasiliana na huyu 0754 464 525 anautwa dokta kibona,mweleze tatizo lako,ukipata msaada urudi for feedback,all the best
 
Calm down,usuchukue maamuzi yoyote kwanza hebu tuliza akili,jaribu kuwaona madaktari wa wanawake pamoja na madaktari wabaotibu kwa njia za asili za mitishamba,nina uhakika utapata ufumbuzi,hebu wasiliana na huyu 0754 464 525 anautwa dokta kibona,mweleze tatizo lako,ukipata msaada urudi for feedback,all the best

asante sana nampigia sasa hivi
 
Calm down,usuchukue maamuzi yoyote kwanza hebu tuliza akili,jaribu kuwaona madaktari wa wanawake pamoja na madaktari wabaotibu kwa njia za asili za mitishamba,nina uhakika utapata ufumbuzi,hebu wasiliana na huyu 0754 464 525 anautwa dokta kibona,mweleze tatizo lako,ukipata msaada urudi for feedback,all the best

asante sana nimeshaongea nae ameniambia napayikana shekilango Mungu anipe uhai kesho niende, asante sana kwa msaada wako
 
asante sana nimeshaongea nae ameniambia napayikana shekilango Mungu anipe uhai kesho niende, asante sana kwa msaada wako

Karibu,ukipata tiba ulete feedback ili wenye tatizo kama hilo nao wapate msaada
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom