Castle_Lite
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 760
- 1,417
Mkasa wa kweli kabisa,
Kwa Wanaume Dillema ya namna hii inatokea. Na kweli unawapenda sana maana umeshindwa hata kumuita huyo mdada wa pili kuwa ni mchepuko.
Ushauri: kwa kuwa ushaenda Mbali sana kwa upande wa pili, subiri mtoto azaliwe uende na marafik baadh kujitambulisha kijijin kwao kwamba ww ni mzazi mwenzake.
Usimwambie Mke, na pia endelea kumuhudumia Mke wa pili, Life Goes On, RELAX.
Wababa zetu wanazo hizi Dillema sana na Maisha yanaenda, sembuse ww
Kwa Wanaume Dillema ya namna hii inatokea. Na kweli unawapenda sana maana umeshindwa hata kumuita huyo mdada wa pili kuwa ni mchepuko.
Ushauri: kwa kuwa ushaenda Mbali sana kwa upande wa pili, subiri mtoto azaliwe uende na marafik baadh kujitambulisha kijijin kwao kwamba ww ni mzazi mwenzake.
Usimwambie Mke, na pia endelea kumuhudumia Mke wa pili, Life Goes On, RELAX.
Wababa zetu wanazo hizi Dillema sana na Maisha yanaenda, sembuse ww