Mario Gomez
JF-Expert Member
- Nov 1, 2011
- 779
- 523
Hiyo ni zari usiiache kama ana uwezo wa kujimudu for sure hatakusumbua kuhusu matumizi ya mtoto ukipendezwa vuta kabisa uweke ndani awe mke.Mmh ndugu yangu anapitia shida ndio maana nakutonya haraka usikubali either umuoe kwa ridhaa yako au ukate mawasiliano