Naombeni ushauri wenu juu ya huyu mtušŸ¤”

Mmh ndugu yangu anapitia shida ndio maana nakutonya haraka usikubali either umuoe kwa ridhaa yako au ukate mawasiliano
Hiyo ni zari usiiache kama ana uwezo wa kujimudu for sure hatakusumbua kuhusu matumizi ya mtoto ukipendezwa vuta kabisa uweke ndani awe mke.
 
Hiyo ni zari usiiache kama ana uwezo wa kujimudu for sure hatakusumbua kuhusu matumizi ya mtoto ukipendezwa vuta kabisa uweke ndani awe mke.
Fikiri kabla ya kutenda nani kazungumzia matumizi sisi tunazungumzia kugandwa gandwa . Ndio shida eti huna time na mtu ila yeye anatime na wewe hii ni kero sijui mtoto wako anataka hiki kile ukitaka raha olewa oa umtakaye ndio raha
 
Usianzishe jambo ambalo huwezi kulimaliza,Kaa chonjo.Mwambie aende Mhimbili Kuna sperm Bank.Kama shida ni mtoto.Vinginevyo akishabeba mimba atakusumbua hadi uone dunia chungu.
 
Kwanza naomba radhi kwa hili nitaloeleza hapa maana naenda kinyume na codes za kiume "What happens in Vegas stay in Vegas" Sio vizuri sana kuzungumza mambo yako yahusishayo wanawake mitandaoni. But I have to do this coz sitaki kutumia akili yangu mwenyewe nisije haribikiwa mbeleni huko.

====
Binafsi mbali na utani na utundu wangu naokua nao huku Jf. Ila huku duniani nimtu tofauti nimezubaaa saaaaana +Shyness (Sorry if it sound weird). Kutokana na jinsi nilivyo swala zima la kupata mwanamke kwangu hua kipengele sana

So for the past 2 months kuna mgahawa nilikua napenda kula maramoja moja. Nikifika pale nafanya kilichonipeleka tu just salam, kuagiza chakula nasema ahsante kisha ninapita hivi.

Sasa mmiliki mwenye mgahawa mdada alikua akiniona ananichangamkia sana.. As a man nikawa nishajua she's into me. Coz kuna muda nilikua napata huduma kuliko kiasi cha pesa nacholipia.

Sasa siku moja tuko na wengine workers nikawa nami naongea hapo ndio akapata chance ya kuwa anazungumza nami. Mara nyingi sana amekua akisema live kua she's into me. Mm hata sijali najua utani. Juzi hapo ndio akaniomba namba yangu nikachukua simu yangu akajidip nikawa na namba yake.

Sasa jana jioni akawa ananitext na kueleza anachotaka kwangu... Kiufupi huyu dada anataka azae na mimi. Yaani anasema anataman azae na mimi tu basi. Nilijua anatania nikiamwambia saa mbili nitapita alipo aonge live hicho anachotaka kama kweli yupo serious.
Jioni nikaenda alipo akanipiga mistari kama yote hadi nikamwambia hii haijawahi tokea maishani mwangu

Kama kawaida yetu wanaume hua ni maharage ya mbeya mbele ya vocals za wanawake ilibidi nikubali tu ili nisionekane mnyonge/boya.
Nilimwambia mm sijajipanga kuzaa au kuoa mwaka huu yeye akasema hana shida na kuishi na mimi.. Hahitaji hata shing mia yangu anachotaka tu mm nimzalishe.

Ameniambia yeye ana nyumba yake ya urithi na frame za urithi mjini zenye wapangaji +plus mgahawa yeye anahitaji mtoto nami tu hata nisumbua kwa lolote.
Tatizo ananizid miaka kadhaa maana yeye ni wa 96 mimi wa ....... Ila sura, tako shepu matata vyote vipo

Sasa wakuu nipeni muongozo juu ya hili swala niamue nini kuhusu swala la kuzaa nae. Maana siwezi susia free utelezi. Mwenyewe anataka Jpili hii tuanze shughuli ya kumtia mimba

Kwa wapenda pichaView attachment 2862817
View attachment 2862818
Huyu anataka ukamzagamue tu. Hakikisha unampima UKIMWI na Homa ya Ini kabla hujamzagamua!
 
I'm still figuring out how to get rid of her. Without hurting her
 
Since u posted HERE,,, ilikuwa jan 05
Mpaka leo bado mnazungushana kama KUKU?
Sasa hivi alinipigia ananiambia kuhusu kesho nijitahidi tuanzešŸ¤£šŸ¤£
Huu mwaka sijui nimeuanza vizuri au vibaya
Cc
mawardat
Screenshot_20240120-221639.png
 
Kwanza naomba radhi kwa hili nitaloeleza hapa maana naenda kinyume na codes za kiume "What happens in Vegas stay in Vegas" Sio vizuri sana kuzungumza mambo yako yahusishayo wanawake mitandaoni. But I have to do this coz sitaki kutumia akili yangu mwenyewe nisije haribikiwa mbeleni huko.

====
Binafsi mbali na utani na utundu wangu naokua nao huku Jf. Ila huku duniani nimtu tofauti nimezubaaa saaaaana +Shyness (Sorry if it sound weird). Kutokana na jinsi nilivyo swala zima la kupata mwanamke kwangu hua kipengele sana

So for the past 2 months kuna mgahawa nilikua napenda kula maramoja moja. Nikifika pale nafanya kilichonipeleka tu just salam, kuagiza chakula nasema ahsante kisha ninapita hivi.

Sasa mmiliki mwenye mgahawa mdada alikua akiniona ananichangamkia sana.. As a man nikawa nishajua she's into me. Coz kuna muda nilikua napata huduma kuliko kiasi cha pesa nacholipia.

Sasa siku moja tuko na wengine workers nikawa nami naongea hapo ndio akapata chance ya kuwa anazungumza nami. Mara nyingi sana amekua akisema live kua she's into me. Mm hata sijali najua utani. Juzi hapo ndio akaniomba namba yangu nikachukua simu yangu akajidip nikawa na namba yake.

Sasa jana jioni akawa ananitext na kueleza anachotaka kwangu... Kiufupi huyu dada anataka azae na mimi. Yaani anasema anataman azae na mimi tu basi. Nilijua anatania nikiamwambia saa mbili nitapita alipo aonge live hicho anachotaka kama kweli yupo serious.
Jioni nikaenda alipo akanipiga mistari kama yote hadi nikamwambia hii haijawahi tokea maishani mwangu

Kama kawaida yetu wanaume hua ni maharage ya mbeya mbele ya vocals za wanawake ilibidi nikubali tu ili nisionekane mnyonge/boya.
Nilimwambia mm sijajipanga kuzaa au kuoa mwaka huu yeye akasema hana shida na kuishi na mimi.. Hahitaji hata shing mia yangu anachotaka tu mm nimzalishe.

Ameniambia yeye ana nyumba yake ya urithi na frame za urithi mjini zenye wapangaji +plus mgahawa yeye anahitaji mtoto nami tu hata nisumbua kwa lolote.
Tatizo ananizid miaka kadhaa maana yeye ni wa 96 mimi wa ....... Ila sura, tako shepu matata vyote vipo

Sasa wakuu nipeni muongozo juu ya hili swala niamue nini kuhusu swala la kuzaa nae. Maana siwezi susia free utelezi. Mwenyewe anataka Jpili hii tuanze shughuli ya kumtia mimba

Kwa wapenda pichaView attachment 2862817
View attachment 2862818
...anachagua mbegu bora kwa kadri ya matakwa ya fikra zake.

Endelea kuongea nae baada ya mavuno,
Nini itakuwa hatma ya mahusiano yenu?

Angalizo;
Mwenyezi Mungu alipoweka fungano la ndoa, ilikuwa pia ni kwa ajili ya haki ya baba, mama na mtoto.

Usijetumika tu kama sperm donor kisha baadae ukakosa rights zako kwa mtoto.
 
Mrejesho.

Nimefanikiwa kutotimiza matakwa yake. Nashukuru kwa ushauri wenu, zawaid bora kwa watoto ni kua na wazazi walio kwenye ndoa
 
Back
Top Bottom