Umesema we ni mvulana au mwanaume?
Hahahah yaani kati ya siku nilizocheka ni leo...
Wavulana bana!!!
Umesema we ni mvulana au mwanaume?
He he he, muvurana kimada anaitwaje?
mvulana si unona hata alivyoandika bila paragrafu rakiki...... neambaso mbe ...1
afadhali next week shule zinaanza kufunguliwa.
Afuate huu ushauri, vinginevyo atakoma.Duh pole sn km vp msikilizie akirudi niaje ila komaa asikuzingue kiivo mpwa dawa ni kukaza akijua unalialia atakuendesha.
wewe kama mSUKUMA ,,,
itabidi niombe muongozo tu kabla sijakushauri,,maana ntapigwa ban bure