Naombeni ushauri wanajamvi

Naombeni ushauri wanajamvi

Orayt. Act like a man!!

Mwanaume hapewi hela na mwanamke. Mwanaume haendi kuendeleza kwa wakwe, tena wakwe wasio rasmi. Mwanaume hapelekeshwi hovyo na mwanamke.

Kama umenielewa then tafakari na chukua hatua ya kiume.

haki uume.
 
mm ni mvulana nina mchumba wangu huu ni mwaka wa 4 yy ni mfanyakaz serikalini mm nimehitimu diploma ya ualimu 2013 may nimefaulu na nasubilia post. mwaka jana mwez january alipata safari kikazi hivyo aliniomba aniachie atm yake ili niweze kuwahudumia mzaz wake kwakuwa baba mkwe amefariki mwez mmoja baada ya mm kwenda kujitambulisha na nkahaidi kupeleka mahari mwaka huu. nilimkubalia aniachie wakati huo mm nilikuwa mwaka wa mwisho chuon2013 pia aliniomba nimhamishe mdogo wake aliyekuwa anasoma shule ya kata kijijin kwao nimtafutie private hapa mjin arusha na nkafanya hivyo nilipo maliza chuo may 2013 nilirudi kukaa na shemeji yangu huku akiendelea na masomo yake nami naendelea kumfundisha wakati wa jion na kutoa huduma stahiki kwa mama mkwe kijijin na mdogo wake hapa arusha kumbuka nimevunja mkataba wa kufana kaz tabora nilipokuwa nafanyakaz awali kabla sijaenda chuo na tulikubaliana na mwajir wangu nikimariza chuo nitaenda kuendelea kufundisha wakati na subiri post lakn kwakuwa mchumba angu kaniomba nikae na mdogo wake na kuisaidia familia yake kiujumla kwa mshahar aliouacha lak 5. mwaka jana mwez wa 8 alituma dollar 900 nizichenji ili niziweke kwenye akauti yake ya posta. mm nili mwambia mdogo wake kuwa hiyo hela itakuwa mkomboz kwani maisha tuliyokuwa tunaishi kutokana na kuniachia majukumu mazito kila mwez nilikuwa namtumia mama mkwe hela bado hatujala dogo kila mwez hela ya usafiri wa busi la shule hela yake ya matumizi hatujalipa michsngo ya umeme maji taka usafi pango kwenye nyumba ya kupanga kwakweli nilikuwa navuja jasho mm sina kaz nilizunguka kutafuta ajira nikachoka nikaamua nikae tu.Na mwez wa tisa mwaka jana tulikwenda na huyo shemeji yangu kijijin kwenda kuhitimisha msiba wa baba mkwe ni shughuri iliyoambatanisha na sherehe za kimila na ujenz wa makaburi 11 Mawili tulijenga kwa marumaru mm na ndiye nilikuwa msimamiz mkuu badala ya mchumba angu kwan kwao mwrnye uwezo ni yy hivyo shughur nzima ilinighari 1.2m hivyo hata zile dollars alizotuma nilizitumia kwenye shughuri hiyo na nilikuwa namshirikisha mdogo wake kala hatua ya matumizi ya pesa ya kila mwez na kuweka kimaandidhi. sasa yy anarudi mwez ujao toka huko ulaya. jana niliamua kumuweka waz juu ya zile dollar alizoniagiza niziweke banki na mm nimetumia kwan bila zile shughuri ilikuwa pevu kwao kwan ndugu zake wote walikuwa wananitozama mm nilioachiwa pesa za nduguyo. cha ajabu ananitaka akirud azikute pesa zake bank haijalishi nimetumia kwenye shughuri ya kwao au la na kasitisha mawasiliano na hataki tena nakampokee airpot dar. jaman nifanyeje

teh..nimejikuta nacheka utadhan mazuri........
 
sasa uko airport utaendaje???una nauli kweli???au ile dola mia tisa bado ipo kdg....chiz fresh we!!!!!
 
pole mvulana..andaa ripoti ya mapato na matumizi and hakikisha unafungua makabati vizuri and yanabalance.mwisho ujiandae kwa presentation.

na baada ya presentation unavuliwa madaraka ya uchumba rasmi na kuwa rafiki
 
Mvulana usiogope. Hamjaoana, kutambulishwa nini bwana. Ngoja aje umsikilize baada ya hapo mweleze a to z ila nakuomba kwa mda huu anza kutengeneza kule kwa mwajiri wako. Kwanza ukae ukijua huyo mwenzako ameshakudharau na ndiyo maana ameanza kutoa lugha zisizofaa mapema. Rekebisha ulikokuwa na maadamu shule ndiyo zimefunguliwa utaweza kuanza kazi. Huyo unayemwita mchumba wako akija ongea naye then nenda kafanye kazi ili uwe na heshima yako la sivyo mh!
 
Janki usiwaze! airport usiende wala nini,we kaa msikilizie umsikilize anasemaje kunja ndita kweli usiruhusu akutukane kisha muulize anaamuaje halafu unaanzia hapo maisha yanaendelea,lake unaliacha nyuma unaangalia linalofuata!u look young!umejifunza kitu hapo!
 
daaah pole sana mdogo angu! jaribu kujifunza toka kwake nikiwa na maana uwe mpole kwan huna namna ya kuzirudisha hizo pesa, japo ulizitumia sahih kabisa. nijibu maswal haya then ntakupa ushauri.
1. hizo dola 900 alizituma ili uzitumie au umuwekee ktk a/c yake?
2. ulimshirikisha kuwa unataka kuzitumia ktk shughuli hiyo?
3. je, ulijua hzo pesa anataka kufanyia nin?
4. kwa nin ulikuwa huombi pesa kwa ajili ya matumizi yenu na dogo pia na mama mkwe baada ya zile alizokuwa amewaachia kuisha?
 
hukuwa unamshirikisha mchumba wako kila jambo ulilokuwa wataka kufanya na $ zake.......hii kali ya mwaka kutambulishwa umebeba na majukumu kwa mgongo wa mwingine akirudi tegemea kibuti na masimango yakutosha
 
1. Niweke kwenye ac yake
2.sikumshirikisha kwakuwa alichopanga hataki kivurugwe huku mm kanipa kaz ya kwenda kujenda makaburi na huitimisha msiba wa babamkwe kiujumla huko songea kwa sasa nipo arusha
3. Sikijua kuwa alitaka kufanyia nn
4. Aliniachia mshahara wake lak. 5 kwa mwez lakin kutokanna na shughuri ilivyokuwa nzito hazikutosha ndo maana niliamua kumshirikisha mdogo wake ninayeishinae. Juu ya matumizi ya $ hizo nanilijua kuwa nimetega bomu litakalonilipukia hivyo niliona ni vyema nitekereze shughuri aliyenipa vizuri kuliko kukwamisha badala ya kulaumiwa na ndugu zake maana wangesema nabania pesa za ndugu yao
 
Mvulana ulikuwa unatafutiwa sababu ya kumwagwa tu, hiyo hela haiwezi kuwa sababu ya mahusiano kuharibika ukizingatia umetumia kwa matumizi yanayoeleweka. Mwenzako kashapata exposure ya ulaya wewe bado una vumbi la sikonge, watu wanakujadili wewe sana bila kuangalia upande wa pili kama alikupenda na mapungufu yote hayo naamini hata hili nalo lingepita tu.
Ila jipange uache uvulana its never too late
 
Mvulana ulikuwa unatafutiwa sababu ya kumwagwa tu, hiyo hela haiwezi kuwa sababu ya mahusiano kuharibika ukizingatia umetumia kwa matumizi yanayoeleweka. Mwenzako kashapata exposure ya ulaya wewe bado una vumbi la sikonge, watu wanakujadili wewe sana bila kuangalia upande wa pili kama alikupenda na mapungufu yote hayo naamini hata hili nalo lingepita tu.
Ila jipange uache uvulana its never too late

U a ryt
Shughuli yake ma anajua hali ya kwao halafu anataka kumnyanyasa mwenzie
Mpotezee km vp



Kwanza tupe feedback ilikuwaje ENC?
 
We mjinga kweli mkuu yaani uache kazi kwa ajili ya mchumba?? bora angekuwa mke na tena ushamtandika mimba kama 2 hivi.dola 900 kwa hayo majukumu mbona naona kama haitoshi tena na nauli arusha songea? Kwa ufupi tu huyo alikutumia vibaya kwa maslahi yake akijua wewe ni mwaminifu.Nakushauri rudi kazini mbio tena serikalini hukohuko tabora achana na ajira za watu binafsi ni ujinga tu.
 
ok. Narudi tena kwa mara nyingine kutoa feedback juu post yangu ya january 2. yule mchumba angu karudi toka london alinipigia cm siku mbili kabla hajaja kuwa nikampokee airport ila mm sikwenda coz awali alikataa nisiende kumpokea hivyo alikuja yy had home.
nilimkaribisha tukasalimiana vizuri baada ya hapo akaanza kwa kuniulizia hali za nyumban kwao nilimsimulia na akauliza shughur iliendaje ya ujenzi wa makaburi nilimsimulia na pia niliweka CD aangalie kwani niliweza kuchukua movie nzima ya shughuri toka tunaanza safar arusha had tunarud.
kwa kweli aliangalia takriban dk 256 had movie yote kwisha. badae aliomba nimpatie kitabu cha matumizi yaaa nilimpa akasoma , sehemu alizokuwa hazielewi nilimfafanulia baada ya kumaliza. alitamka maneno haya nanukuu" mchumba angu pole sana kwa majukumu haya niliyokuachia kwan sikutegemea kama ungeweza kuyatekereza kwa ufanisi huu kwakweli nakupongeza sana , sina cha kukupa zaidi ya upendo wangu wa dhati kwako yote niliyokukwaza naomba nisamehe zilikuwa ni hasira tu lakin baadaye nilofikiria na nilipoona mwenyewe kwa kaz uliyoifanya nimefurahi sana hasa nimemkuta mdogo wangu ame improve kitaaluma najua hiz zote ni juhudi zako asante sana"
Hayo ndiyo baadhi ya maneno yake , aidha kaniomba nifanye juu chini nikatoe posa kwao. ila cha ajabu alipo ongea na wazazi wake kwa njia simu wazazi wake hasa mamaake ndiye aliyebaki kasema nisitoe posa kwani kanizawadia bure kwa jinsi nilivyoonesha uwajibikaji wangu na uaminifu wangu kwa bint yake lakn huu mchumba angu ananilazimisha lazma nitoe tena laki 200,000 tu hata km mama yake hataki. hapo ndipo palipo na mvutano kati ya mama na bintiye. je mnanishauri nifanyeje. bila kusahau kwa wale walioniponda nao nawashukuru kwa mchango wao pia wasikose kuchangia na hili pia
 
asingeenda angeonekana ana roho mbaya, hajali
angeenda bila kuchangia kitu napo ingekuwa kazi asingeeleweka!!!!
ameenda kwa kutumia hela za swittie nayo balaaa!!!
binadam hatuna jema!!

swali kwa mtoa mada
mwanamke wako alikuwa anajua kuwa kuna shughuli hyo na kuwa huko kijijini hawana uwezo wanantegemea yy?
n if so alikupa maelezo yyt kuhusiana na hilo?
if no y hukumuuliza b4 hujaenda huko kijijini
christine ibrahim nadhani in fairness tumpe benefit of doubt

kutokana na observation yako ambayo pia nimeiona, nadhani akija mchumba wake akaelezwa kwa kinagaubaga akaonyeshwa na accounts ataelewa na atamsitiri dogo

Otherwise, kama mchumbake dogo akikomaa kwamba anataka hela zake aamue kiume na awe mwanaume ardi tabora kufundisha atapata wa saizi yake (love nowdays has been commoditized) aachane na huyu mwenye mshahara tayari.
 
Last edited by a moderator:
ENC brazaa apo ka nakuona bichwa hilooooo ka utawala wa Gaddafi..
well hongera mkeo kwakuelewa...
kwakimila to a mahali..tafta washenga watu wazima wapeleke
we wee u lay low kidogo..no offense but u sound yan MTU flan ka undugu baki kunogaaa
so data ka wakwe wapo friendly vipi kaza punguza shobo a cha mshenga akamalize mchezo
 
Last edited by a moderator:
nimeshindwa kuvumilia yaliyomtokea mleta mada!

1625673_264168487078816_1995253001_n.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom