Naombeni ushauri wadau

Naombeni ushauri wadau

cha mtu mavi

Member
Joined
Jan 15, 2017
Posts
67
Reaction score
20
Nina mpango wa kukopa trekta au Mashine ya kuvunia mpunga lkn pesa zangu ni ml.30 Mashine zinauzwa ml.55@ 1 shida yangu nataka kujua mkoa gani naweza weka Mashine yangu au trekta langu likanisaidia kulipa mkopo kwa amani na kama ikiwezekana nipate mchanganua wa ukodishaji wa Mashine au trekta ili nijue pakuanzia sijawahi hishi mikoani zaidi ya Dar mazingira ya vijijini na kilimo ni mambo mageni kwangu Ila nimedhamilia niingie mzigoni msaada wenu utaleta Tina kwenye dhamira yangu

Sent from my Y4 using JamiiForums mobile app
 
Ushauri wangu kabla hujanunua hilo trekta, anza kufatilia mikoa ipi wanahitaji kukodi na kiasi gani utapata kwa ekari. Biashara kuifanya bila ya kuifatilia utavunjika moyo mapema au utaibiwa kwa sababu watakujua mgeni kwenye ulimwengu wa biashara.




Ndukiiiii

Sent from my SAMSUNG-SM-G900A using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom