Nunua note 5 au lg v20Hello members naombeni ushauri wa kupata simu nzuri....Bajeti yangu ni laki nne, Hijalishi simu itakuwa pungufu ya hio bajeti,
Naombeni ushauri please
Used si zaidi ya 400kMkuu nipe bei zake hizo simu madukani
Hello members naombeni ushauri wa kupata simu nzuri....Bajeti yangu ni laki nne, Hijalishi simu itakuwa pungufu ya hio bajeti,
Naombeni ushauri please[/QUOTEsometime mnatuchosha sana sisi tunawaza bajeti za watoto wa shule wengine mnatuambie tuwape ushauri wa kununua simu..hivi vichwa vyenu viko vizuri kweli?...simu zimejaa kila mahali na bei zake zinajulikana si mnunue kimya kimya tuuuuu....je huu ni uungwanaaaaaaa.....
Galaxy note 4 inategemea na duka bei inaanzia 470k ila feature zake na performance ninzuri sana ingia YouTube kupata taarifa zake au gsm arena. Ni flagship ya 2014 ila sifa zake simu chache za 2018 zinazo ukiacha flagship hata mimi nampango wa kuitumia ila ni uamuzi wako.Hello members naombeni ushauri wa kupata simu nzuri....Bajeti yangu ni laki nne, Hijalishi simu itakuwa pungufu ya hio bajeti,
Naombeni ushauri please
Kumbe poco ni simu kali namna hiyo? Tatizo ni ngumu kuipata bongo mpka kugizaSamsung galaxy j6 2018
Au samsunggalaxy s6
Au
Iphone 6
Au
oppo find
Inshort ni una otion nyingi
Au tafta laki6.5 ununue xiomi pocophone f1 ambayo ni the best budget phone 2018 yenye spects za s9 au huawei mate 20 pro
Ni nzuri ila soko Lao tz hamna kama brand zingineKumbe poco ni simu kali namna hiyo? Tatizo ni ngumu kuipata bongo mpka kugiza
Sent using Jamii Forums mobile app
Note 5 nimeona post moja kupatana brand new anauza 550k kuhusu lg ngoja waje wanaojua
Ukiitaka mimi tarehe 20 naletewa kwa laki 4 tuNote 5 nimeona post moja kupatana brand new anauza 550k kuhusu lg ngoja waje wanaojua
Sent using Jamii Forums mobile app
kanunue tecno camon x au camon cm gb32 iwe nyeupe au gold hutajuta halafu uweke cover ya auto focus nyeusi...Hello members naombeni ushauri wa kupata simu nzuri....Bajeti yangu ni laki nne, Hijalishi simu itakuwa pungufu ya hio bajeti,
Naombeni ushauri please
.............Hatojuta,tatizo Watanzania kununua kitu ambacho hajaona bango lake pale Agrey Str au barabara ya Uhuru wanaona kama wanapoteza ila wakishanunua ma-refurbished ndo akili zinawakaa sawa.