Musa ALOYCE Busilili
New Member
- Nov 11, 2019
- 3
- 4
Ndugu zangu naomba msaada na ushauri wenu katika hili,
Mimi ni mwanafunzi wa Chuo cha Dar es Salaam Institute of Technology. Napenda sana kusoma maana maisha yangu yanategemea sana elimu. Lengo ni kuwa na ufaulu wa juu sana lakini kila nikijitahidi kusoma naishi GPA 3.5. Natamani sana kupata GPA 4.5 mpaka 4.8.
Wapendwa naomba mnishauri nitumie mbinu zipi ili niweze kupata ufaulu kama huo?
Mimi ni mwanafunzi wa Chuo cha Dar es Salaam Institute of Technology. Napenda sana kusoma maana maisha yangu yanategemea sana elimu. Lengo ni kuwa na ufaulu wa juu sana lakini kila nikijitahidi kusoma naishi GPA 3.5. Natamani sana kupata GPA 4.5 mpaka 4.8.
Wapendwa naomba mnishauri nitumie mbinu zipi ili niweze kupata ufaulu kama huo?