farajamlenga
Member
- Dec 8, 2017
- 46
- 45
Naomba kueleweshwa ni vyakula gani ambavyo nikila vitasaidia kuongeza maziwa
Ninamtoto wa miezi miwili na wiki moja, maziwa yangu yanatoka kidogo sana hivyo naona kama hayatoshi na mtoto hashibi, nimesha tumia sana uji uliowekwa pilipili manga pamoja na matetele ya maboga lakini hayajanisaidia
Pia naombeni ushauri ni maziwa gani yanayofaa kwa mtoto Mdogo ili niweze kumpa akifikisha miezi mitatu muda ambao Mimi itabidi nirudi kazini
Nashukuru wote mtakao nipa ushauri
Ninamtoto wa miezi miwili na wiki moja, maziwa yangu yanatoka kidogo sana hivyo naona kama hayatoshi na mtoto hashibi, nimesha tumia sana uji uliowekwa pilipili manga pamoja na matetele ya maboga lakini hayajanisaidia
Pia naombeni ushauri ni maziwa gani yanayofaa kwa mtoto Mdogo ili niweze kumpa akifikisha miezi mitatu muda ambao Mimi itabidi nirudi kazini
Nashukuru wote mtakao nipa ushauri