wana jamvi mimi ni kijana nina 27 yrs, tatizo langu ni kwamba nilikuwa na girlfriend wangu ambaye tulipendana saana!!
Mpenzi wangu huyu nilikutana naye kipindi nikiwa nahitimu chuo mwaka 2011, sio siri nilimpenda na nilimuona kila kitu kwangu kwa ukweli hata yeye anajua nilimpenda naye pia!
baadhi ya ndugu zangu walimfahamu na pia ndugu zake walinifahamu!!!
kila mmoja wetu alipopata shida tulisaidiana!!! tulikuwa tukitembeleana mara kwa mara kwani yeye alikuwa iringa na mimi dar!!! mwanzoni mwa mwaka Jana nilisafiri kuja mikoa ya kanda ya ziwa!! hivyo tukawa mbali mbali zaidi kuliko ilivyokuwa awali! Tulipanga Dec mwaka Jana tungeenda kutambulishana lakini nikashindwa kwenda kutokana na majukumu niliyonayo huku nilipo! ulizuka ugomvi mkubwa! mpenzi wangu yule alinikatia mawasiliano!
hapo nilijitahidi saana kutafuta suluhu lakini nilishindwa. mwisho ikawa ni january mwishoni mwaka huu akaniambia nitafite mwanamke mwingine! alijaribu kunihesabia yale tuliyotofautiana toka tunaanza mahusiano! nilihuzunika saana toka hapo hapokei simu wala kujibu msg zangu. najihisi kuchanganyikiwa sielewi nifanye nini, nimekata tamaa ya maisha! naomba kama kuna mtu anaweza kunisaidia kisaikolojia ani-pm
Mpenzi wangu huyu nilikutana naye kipindi nikiwa nahitimu chuo mwaka 2011, sio siri nilimpenda na nilimuona kila kitu kwangu kwa ukweli hata yeye anajua nilimpenda naye pia!
baadhi ya ndugu zangu walimfahamu na pia ndugu zake walinifahamu!!!
kila mmoja wetu alipopata shida tulisaidiana!!! tulikuwa tukitembeleana mara kwa mara kwani yeye alikuwa iringa na mimi dar!!! mwanzoni mwa mwaka Jana nilisafiri kuja mikoa ya kanda ya ziwa!! hivyo tukawa mbali mbali zaidi kuliko ilivyokuwa awali! Tulipanga Dec mwaka Jana tungeenda kutambulishana lakini nikashindwa kwenda kutokana na majukumu niliyonayo huku nilipo! ulizuka ugomvi mkubwa! mpenzi wangu yule alinikatia mawasiliano!
hapo nilijitahidi saana kutafuta suluhu lakini nilishindwa. mwisho ikawa ni january mwishoni mwaka huu akaniambia nitafite mwanamke mwingine! alijaribu kunihesabia yale tuliyotofautiana toka tunaanza mahusiano! nilihuzunika saana toka hapo hapokei simu wala kujibu msg zangu. najihisi kuchanganyikiwa sielewi nifanye nini, nimekata tamaa ya maisha! naomba kama kuna mtu anaweza kunisaidia kisaikolojia ani-pm