Naombeni ushauri nipo kwenye giza

Naombeni ushauri nipo kwenye giza

Nimekaza japo kuna ugumu, muda wote huo angeniambia mapema ingesaidia sana
pole sana mkuu, inaonesha huyo dada alishapoteza hamu na wewe ila alikua anashindwa kukueleza wazi,lakini kwa ishara hizo hakika huna nafasi tena katika moyo wake.usipopendwa usilazimishe kupendwa
 
Be a man!!! Wanaume huwa hatulii hovyo bn,mwanamke anaongea na MTU mbele yako namna ya kubeba ujauzito bado unakuwa na nguvu ya kwenda na rafiki yako kubembeleza??Acha kuiangusha timu kiumeni MKUU!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu kwanza poleni na majukumu ya siku. Kiukwel mwenzenu nipo katika hali ngumu, nilikuwa kwenye mahusiano na dada mmoja takribani mwaka umeisha. Sasa toka mwaka uanze amekuwa mtu wa vituko sana, nikaamua kupeleleza kimyakimya ila sikufanikiwa, kunà siku moja nilitumiwa msg na mtu kuwa niachane na huyo dada ila nikaipuuzia, sasa last week nikaenda kwake nikiwa hapo akampigia mtu simu katika maongezi ni kama walikuwa wanapanga mwezi wa kubeba ujauzito, aliongea muda mrefu na baada ya mazungumzo nikamuuliza alikuwa anaongea navnani, akanijibu ni rafiki tu niyapuuzie coz uwa wanataniana, ofcoz nilimbana sana kwa maswali lakini nikawa nimehisi jambo, jana nikamchukua rafiki yangu tukaenda ili aniweke wazi kwasababu tokabmwaka uanze simuelewi, kiukweli alikiri aliyoyaongea na huyo kaka na akasema yupo nae kwenye mahusiano kitambo sana ata kazi alimuunganishia yeye hivyo pia ngumu kutengana nae, wakuu niliona kama utani vile nikaanza kumbembeleza asifikie hatua hiyo ila akakomaa na msimamo wake, sie tukaondoka nakumbuka usiku nimemtumia msg nyingi sana za kuonyesha jinsi gani ana thamani kwangu, cha kusikitisha kascreen msg then akamtumia Mike ambaye ni mtu wake kama alivyodai, Mike kachukua namba akanipigia simu leo mchana kuwa niachane na huyo binti kwani ni mchumba wake na ni jukumu lake, kusema ukweli nilimjibu mshkaji sorry bro sikujua japo moyoni kimeniuma kupita kiasi, sina amani ata kidogo, naombeni ushauri tu nichukue harua gani, maana ksemà kweli bado sijaridhika, au na mimi nimthibitishie Mike kuwa nilikuwa nae kwenye mahusiano?
Daaaa mshikaji umeongea kinyonge sana had nimeshindwa kumalizia Uzi wako.
Inakuwaje unambembeleza kias hicho mwanamke, unatumia lugha laini kabsa kiasi hicho?
Yeye kama amekuona hufai na ameona mike anafaa bas piga chini maisha yasonge.
Utakaa kuwaza mapenz na kiumbe kama huyo kweli? Ebu mpige chini jikeep bze na mambo yako utapata wa kukupenda ila ukizid kujifanya et una upendo wa agape, tegemea maumivu na kichapo kutoka kwa mike coz unaonekana dhaifu sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usichoridhika nacho hapo kitu gani???? Hivi mnashindwaje kuukubali ukweli??? Yaani mpaka unapigiwa simu na mwanaume wake bado unakomaa tu we jamaa wewe haupo serious kabisaaaa huwezi kumwacha kwani huyo mama yako mzazi ???? Mwache tafuta mwingine mwanaume umeumbwa na koromeo ili uweze kukabiliana na mambo mazito hivyo vifua mnadhani mmepewa vya show off??? Unapoambiwaga mwanaume unatakiwa kuwa na kifua ndio hii sasa .....jifanye kama hujui kilichotokea we mpotezee tu ....mwanamke kama hakupendi Hata ufanyaje ni kazi bureeeeeee

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea point sana, nimekupenda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu kwanza poleni na majukumu ya siku. Kiukwel mwenzenu nipo katika hali ngumu, nilikuwa kwenye mahusiano na dada mmoja takribani mwaka umeisha. Sasa toka mwaka uanze amekuwa mtu wa vituko sana, nikaamua kupeleleza kimyakimya ila sikufanikiwa, kunà siku moja nilitumiwa msg na mtu kuwa niachane na huyo dada ila nikaipuuzia, sasa last week nikaenda kwake nikiwa hapo akampigia mtu simu katika maongezi ni kama walikuwa wanapanga mwezi wa kubeba ujauzito, aliongea muda mrefu na baada ya mazungumzo nikamuuliza alikuwa anaongea navnani, akanijibu ni rafiki tu niyapuuzie coz uwa wanataniana, ofcoz nilimbana sana kwa maswali lakini nikawa nimehisi jambo, jana nikamchukua rafiki yangu tukaenda ili aniweke wazi kwasababu tokabmwaka uanze simuelewi, kiukweli alikiri aliyoyaongea na huyo kaka na akasema yupo nae kwenye mahusiano kitambo sana ata kazi alimuunganishia yeye hivyo pia ngumu kutengana nae, wakuu niliona kama utani vile nikaanza kumbembeleza asifikie hatua hiyo ila akakomaa na msimamo wake, sie tukaondoka nakumbuka usiku nimemtumia msg nyingi sana za kuonyesha jinsi gani ana thamani kwangu, cha kusikitisha kascreen msg then akamtumia Mike ambaye ni mtu wake kama alivyodai, Mike kachukua namba akanipigia simu leo mchana kuwa niachane na huyo binti kwani ni mchumba wake na ni jukumu lake, kusema ukweli nilimjibu mshkaji sorry bro sikujua japo moyoni kimeniuma kupita kiasi, sina amani ata kidogo, naombeni ushauri tu nichukue harua gani, maana ksemà kweli bado sijaridhika, au na mimi nimthibitishie Mike kuwa nilikuwa nae kwenye mahusiano?
Achana naye... Tena umshukuru kwa vile kakueleza mapema….
 
Usichoridhika nacho hapo kitu gani???? Hivi mnashindwaje kuukubali ukweli??? Yaani mpaka unapigiwa simu na mwanaume wake bado unakomaa tu we jamaa wewe haupo serious kabisaaaa huwezi kumwacha kwani huyo mama yako mzazi ???? Mwache tafuta mwingine mwanaume umeumbwa na koromeo ili uweze kukabiliana na mambo mazito hivyo vifua mnadhani mmepewa vya show off??? Unapoambiwaga mwanaume unatakiwa kuwa na kifua ndio hii sasa .....jifanye kama hujui kilichotokea we mpotezee tu ....mwanamke kama hakupendi Hata ufanyaje ni kazi bureeeeeee

Sent using Jamii Forums mobile app
Bonge la mapwenti yaanii
 
Ukiachwa achika usithibitishe kitu atarudi siku moja analia tu
Wewe uguza majeraha endelea na maisha Mungu kakuonyesha huyo hafai yaani ataukija kuwa na maisha naye siku mkifilisika akisaidiwa nje atakukimbia amka kwenye usingizi wa mapenzi kafanye kazi utapata mwingine mzuri zaidi yake
 
The burn you felt right now its not because of what she did, its beacuse of what you did.
 
Daaah we kweli mvulana wa dar

Mwanamke akifkia stage hio uoneshe uanaume aisee achana nae mbona mademu kibao tuuu

Usiruhusu akuone loser yaan samani yako ya kiume itakua imeisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usikubali kua mtumwa wa mapenzi kaka,utateseka bure hasa kwa yule asiejua thamani yako.

Ni heri mara dufu ukawa single kuliko kua kwenye mahusiano yenye stress.

Focus kwenye mambo mengine mpaka pale utakapokutana na mwanamke sahihi kwako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama upo gizani kweli hatua ya kwanza washa taa..

Nachukia sana mwanaume anapoamini behave weak mbele ya mwanamke pili unawezaje kuwa mwanaume at the same time kuweza kuvumilia kuendelea kumpenda mwanamke anayempenda mwanaume mwingine????

Sometimes najihisi sijui kupenda kwa sababu kuu moja kati maisha yangu yote ya mahusiano sijawahi kupenda mtu kufikia hatua ya kubargain mapenzi, Mungu nisaidie nisilogwe kufikia hatua hiyo.

Nakupenda ndio ukizingua yaani nitakusahau tu piga ua Nita move on tu sitakagi stress..

Sent using Jamii Forums mobile app
Et jamn alafu ukiwambia wanasema et ww hujawah kupenda 'mm huwa nashangaa sana yan mtu nikutane naye ukubwan alafu aniumize akili kabisa hata kama nilkupenda vipi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu kwanza poleni na majukumu ya siku. Kiukwel mwenzenu nipo katika hali ngumu, nilikuwa kwenye mahusiano na dada mmoja takribani mwaka umeisha. Sasa toka mwaka uanze amekuwa mtu wa vituko sana, nikaamua kupeleleza kimyakimya ila sikufanikiwa, kunà siku moja nilitumiwa msg na mtu kuwa niachane na huyo dada ila nikaipuuzia, sasa last week nikaenda kwake nikiwa hapo akampigia mtu simu katika maongezi ni kama walikuwa wanapanga mwezi wa kubeba ujauzito, aliongea muda mrefu na baada ya mazungumzo nikamuuliza alikuwa anaongea navnani, akanijibu ni rafiki tu niyapuuzie coz uwa wanataniana, ofcoz nilimbana sana kwa maswali lakini nikawa nimehisi jambo, jana nikamchukua rafiki yangu tukaenda ili aniweke wazi kwasababu tokabmwaka uanze simuelewi, kiukweli alikiri aliyoyaongea na huyo kaka na akasema yupo nae kwenye mahusiano kitambo sana ata kazi alimuunganishia yeye hivyo pia ngumu kutengana nae, wakuu niliona kama utani vile nikaanza kumbembeleza asifikie hatua hiyo ila akakomaa na msimamo wake, sie tukaondoka nakumbuka usiku nimemtumia msg nyingi sana za kuonyesha jinsi gani ana thamani kwangu, cha kusikitisha kascreen msg then akamtumia Mike ambaye ni mtu wake kama alivyodai, Mike kachukua namba akanipigia simu leo mchana kuwa niachane na huyo binti kwani ni mchumba wake na ni jukumu lake, kusema ukweli nilimjibu mshkaji sorry bro sikujua japo moyoni kimeniuma kupita kiasi, sina amani ata kidogo, naombeni ushauri tu nichukue harua gani, maana ksemà kweli bado sijaridhika, au na mimi nimthibitishie Mike kuwa nilikuwa nae kwenye mahusiano?
Maisha ya ajabu sana. Wakati wengine tunatamani tupate kigezo cha kuachana na wapenzi tulio nao tuwe huru tuwekeze muda kwenye masuala mengine.. Wengine wanalazimisha kupendwa.. Wengine wapo kwenye michakato ya kutongoza.
 
Back
Top Bottom