Naombeni ushauri nipo kwenye giza

Naombeni ushauri nipo kwenye giza

Jibu ulilomjibu ni zuri sana na jikaza tu..we endelea na maisha yako

Wa sangara
 
Hakuna kitu nachukia kama mwanaume asiyejua kusimamia nafasi yake na kuonesha 'uanaume' wake kwa mwanamke wake..!!

Mpaka mwanamke anaweza zungumza na simu na mwanaume mwingine mbele yako walaqhii' kakuona bonge ya lofa.!!

Hayo uliyonayo siyo mapenzi bali ni ujinga Mkuu.!!
Dah 'bro' haya sasa matusi hakyanani [emoji52]
 
Usichoridhika nacho hapo kitu gani???? Hivi mnashindwaje kuukubali ukweli??? Yaani mpaka unapigiwa simu na mwanaume wake bado unakomaa tu we jamaa wewe haupo serious kabisaaaa huwezi kumwacha kwani huyo mama yako mzazi ???? Mwache tafuta mwingine mwanaume umeumbwa na koromeo ili uweze kukabiliana na mambo mazito hivyo vifua mnadhani mmepewa vya show off??? Unapoambiwaga mwanaume unatakiwa kuwa na kifua ndio hii sasa .....jifanye kama hujui kilichotokea we mpotezee tu ....mwanamke kama hakupendi Hata ufanyaje ni kazi bureeeeeee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usichoridhika nacho hapo kitu gani???? Hivi mnashindwaje kuukubali ukweli??? Yaani mpaka unapigiwa simu na mwanaume wake bado unakomaa tu we jamaa wewe haupo serious kabisaaaa huwezi kumwacha kwani huyo mama yako mzazi ???? Mwache tafuta mwingine mwanaume umeumbwa na koromeo ili uweze kukabiliana na mambo mazito hivyo vifua mnadhani mmepewa vya show off??? Unapoambiwaga mwanaume unatakiwa kuwa na kifua ndio hii sasa .....jifanye kama hujui kilichotokea we mpotezee tu ....mwanamke kama hakupendi Hata ufanyaje ni kazi bureeeeeee

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa hii comment asipoelewa basi naenda kulala sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaaa hii comment asipoelewa basi naenda kulala sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeandika kwa hasira mno ....sisi wanawake angalau ndiyo tunatakiwa kulialia kwenye mapenzi eti mwanaume hapa anajiliiiza oooh anapanga plan ya mimba Sijui boy wake kanipigia ..mfyuuuu mwanaume gani analialia ukute ndiyo maana Hata bi dada kaamua kumcheat sababu huyu dhaifu....mwanaume ugangamale sio legelege kama tambi zilizopikwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeandika kwa hasira mno ....sisi wanawake angalau ndiyo tunatakiwa kulialia kwenye mapenzi eti mwanaume hapa anajiliiiza oooh anapanga plan ya mimba Sijui boy wake kanipigia ..mfyuuuu mwanaume gani analialia ukute ndiyo maana Hata bi dada kaamua kumcheat sababu huyu dhaifu....mwanaume ugangamale sio legelege kama tambi zilizopikwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh aseee [emoji58]
 
Back
Top Bottom