Naombeni ushauri, nimefukuzwa kazi

Naombeni ushauri, nimefukuzwa kazi

Ngunya1

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2017
Posts
785
Reaction score
1,364
Habari ndugu,

Kuna kampuni moja ambayo nilikuwa nafanya nayo kazi ila sikwenda kazini siku tatu baada ya kuugua ghafla nilipewa ED na daktari ya siku tatu baada ya kumpa taarifa boss wangu akanisimamisha kazi, hatimae leo amenifukuza kazi bila barua.

Nimemuomba angalau anisaidie ili nirudishe familia yangu waliponitoa wamegoma.

Ushauri jamani, mkataba wangu unaisha October 2021
 
Wewe ni bora kuliko kazi. Ulipokuwa tumboni hukuwa na kazi, hukuwa na umeme lakini ulipata amani furaha na upendo.

Just relax, Mungu Anna kusudi maalum na wewe. Hata Bakhresa hajaajiriwa, wewe ni tajiri sana, just go to the streets and nourish, you are a prosperous person.
Asante mkuu kwa ushauri mzuri
 
Pole sana mkuu. Peleka suala lako tume ya usuluhishi (Commission for Mediation and Abitration-CMA).
Anza kwa kujaza fomu ya CMA inaitwa CMA-F1 - Fomu ya rufaa, kisha fuata maelekezo ya kuwasilisha fomu Huyo kwa muajiri wako na pia kwa CMA.

Maelezo zaidi cheki website ya CMA


Pia, kwa ushauri na maelezo zaidi kama kuna kitu hujaelewa au unahitaji maelezo zaidi, wasiliana na CMA kwa namba hizo hapo kwenye link ya website yao hapa chini kulingana na sehemu uliyopo.

Pole sana once again mkuu Ngunya1
 
Yeye na familia waskilize wimbo...vp mkuu ulikuwa na historia ya wizi wizi hapo ofcn

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] chizi we[emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787]

Eti yeye na familia wasikilize wimbo[emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mshukuru MUNGU alafu chukua mkataba ufuate taratibu zingine za kisheria ili upate haki yako, huyo boss alikuwa a nakutafutia sababu tu!
Note:Ukiona unafukuzwa kazi bila sababu ya msingi jua kwamba Kuna kazi nyingine inakusubiri nzuri mno kuliko hata hiyo ya awali, na imekaribia, imewahi kunitokea Mimi! Lakini baada ya mda nilipata kazi ya mshahara Mara 2,
 
Wewe inaonekana wazi hiyo Ajira yako inatumia uzoefu na siyo ujuzi.(Experience and not skills, means that any body can perform your duties.)

Rejea kwenye mkataba wako kipengele cha terms of termination. Na ujitathimini kwanza ilikuwa na verbal warning ngapi?? Written warning ngapi?? Kama zipo je zinaisha lini mida wake?

Hakuna muajiri AMBAYE atakufukuza kazi kwa kosa la Mara ya kwanza. Kama umeandika kinafiki I uonekane umeonewa kaa ukijua maoni utakayoyapata hapa hayatakusaidia.
 
Wewe ni bora kuliko kazi. Ulipokuwa tumboni hukuwa na kazi, hukuwa na umeme lakini ulipata amani furaha na upendo.

Just relax, Mungu Anna kusudi maalum na wewe. Hata Bakhresa hajaajiriwa, wewe ni tajiri sana, just go to the streets and nourish, you are a prosperous person.
motivation speaker[emoji91][emoji91]
 
Wewe inaonekana wazi hiyo Ajira yako inatumia uzoefu na siyo ujuzi.(Experience and not skills, means that any body can perform your duties.)

Rejea kwenye mkataba wako kipengele cha terms of termination. Na ujitathimini kwanza ilikuwa na verbal warning ngapi?? Written warning ngapi?? Kama zipo je zinaisha lini mida wake?

Hakuna muajiri AMBAYE atakufukuza kazi kwa kosa la Mara ya kwanza. Kama umeandika kinafiki I uonekane umeonewa kaa ukijua maoni utakayoyapata hapa hayatakusaidia.
Nd yangu hawa wahindi sio waajiri wazuri wameenda mpka hospital kuthibitisha kama kweli nilikuwa naumwa waka thibitishiwa kuwa ni kweli kabisa lakin bado hawa elewi wamenitafta wanani bembeleza ni resign mwenyewe ili wanipe mshahara wa mwezi mmoja
 
Nd yangu hawa wahindi sio waajiri wazuri wameenda mpka hospital kuthibitisha kama kweli nilikuwa naumwa waka thibitishiwa kuwa ni kweli kabisa lakin bado hawa elewi wamenitafta wanani bembeleza ni resign mwenyewe ili wanipe mshahara wa mwezi mmoja
Mimi nakushauri upeleke hili suala lako CMA, utapata stahiki yako, wale jamaa huwa wako very fair kwa kweli labda iwe kweli wewe tu umezingua huna vielelezo na vidhibitisho vya kutosha. Ila kama una ushahidi wa kutosha, lazima wahindi hao kamasi ziwatoke na wataamrishwa kukulipa fidia ya kutosha. I hope umeona ushauri wangu hapo juu kuhusu kupeleka ushauri lako CMA. Ngunya1
 
Pole aise kuna ofisi zinazoshughulika na masuala kama hayo nadhani ni ofisi ya kazi fika hapo kwa msaada zaidi.
 
Habari ndugu,

Kuna kampuni moja ambayo nilikuwa nafanya nayo kazi ila sikwenda kazini siku tatu baada ya kuugua ghafla nilipewa ED na daktari ya siku tatu baada ya kumpa taarifa boss wangu akanisimamisha kazi, hatimae leo amenifukuza kazi bila barua.

Nimemuomba angalau anisaidie ili nirudishe familia yangu waliponitoa wamegoma.

Ushauri jamani, mkataba wangu unaisha October 2021
Ukisoma 'The Employment and Labour Relations Act (Sura ya 366 ya Sheria za Tanzania) na Kanuni zake, kuna utaratibu wa kufuata kumfukuza mfanyakazi. Kama utaratifu huo haujafuatwa, kufukuzwa huko kunaitwa 'unlawful termination of employment' (kufukuzwa kazi kinyume cha sheria). Nakushauri kama unadhani umeonewa uende kumwona wakili kwa ushauri zaidi nini kifanyike (nadhani fee ya kumwona wakili kwa ushauri inaweza kufika Sh20,000 au pungufu kulingana na mtu anavyoweza kujililia na wakali akamwelewa). Kufanya hivi kunasaidia mwajiri kuwa makini na ikitokea ni lazima kumfukuza mfanyakazi, basi aweze kufanya hivyo kulingana na sheria za Tanzania zinavyoelekeza. Kukaa kimya kunaweza kuendeleza uonevu unaweza kufanyika kwa baadhi ya wafanyakazi kufukuzwa bila kufuata sheria za kazi.
 
Back
Top Bottom