moto wa maji
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 4,174
- 3,006
Hapo unaisingizia nyeto mkuuKwa ukweli nianza kupiga bao 1 kila siku, baadae ikawa kila siku napiga bao tatu, nakumbuka kuna wakati uume ulikua unauma lakn siwez kuacha
Hapo unaisingizia nyeto mkuuKwa ukweli nianza kupiga bao 1 kila siku, baadae ikawa kila siku napiga bao tatu, nakumbuka kuna wakati uume ulikua unauma lakn siwez kuacha
Mkaka miaka 10 unajifanya mwenyewe jamani, ulishindwa nini kutafuta hata dada poa, mbona wanawake tupo wengi tu, pole
zingatia ushauri unaotoa ana mke huyo,unataka mke aende wap?Kaka pole, ila nami naungana Na washauri waliopita. Kula vizuri vyakula asili Na jipe likizo ya siku hata 89 hivi. Utarudi hapa kushukuru.
Kumchoka mwanamke kunachangia abdala kichwa wazi kulala ovyo..embu jaribu kuchepuka..alafu utatupa mrejeshoWapendwa JF nawasalimu,
Kwanza kabisa nishukuru waasisi wa JF na memba wote, naimani kubwa nitapata msaada humu kwa kua kabla ya kua member nimekua nikifuatilia makala na mada moto moto na baadhi zimetoa masuluhisho ya kudumu katika baadhi ya changamoto.
Nina umri wa miaka 35, naombeni msaada wenu kujua dawa ya kutibu mtu aliethirika na punyeto, uume wangu umelegea na hauwezi kufanya kazi kwa ufanisi, nikifanikiwa kufanya tendo la ndoa ni mara moja tu basi siwez kurudia tena mpaka baada ya masaa 10 yani kesho, ikumbukwe nimeoa na hii inanisumbua sana katika ndoa yangu, mke wangu amekua muelewa sana juu ya mimi kutomridhisha lakin anahisi mimi ninawanawake wengine, tatizo hili la kupiga punyeto nilidumu nalo kwa muda wa miaka 10 kabla ya kuacha kwa tabu sana na kuoa, naombeni usaada wenu juu ya vyakula au dawa za kurudisha uwezo wangu wa tendo la ndoa japo haitokua kama mwanzo.
Mkuu /serikali si ndo mimi na wewe ,unataka serikali gani tena?Inabidi sasa serikali itangaze hali ya hatari.
Kama tayari umeacha ni vizuri sana, ila kitu cha msingi fanya mazoezi,kula chakula kizuri na jiamini.
NB:Usijaribu kutumia dawa za kuongeza nguvu za kiume utaongeza tatizo.
Mke wako anafanya kazi gani?Ushaur mzur lakin nina mke ndani, miez mitatu bila kumgusa ndoa itaota mbawa
saga kitunguu saumu gm100 na tangawizi gm 200 chemsha maji yake litre( 2) hadi zibakie 1.5 unywe nusu glasi asubuhi na jioni hadi yaishe au tafuta majani makavu ya mlonge gm 200 yakaushe yasage chemsha na maji ya litre 1.5 kunywa nusu glas asubuh na jioni kwa muda wa week 1Wapendwa JF nawasalimu,
Kwanza kabisa nishukuru waasisi wa JF na memba wote, naimani kubwa nitapata msaada humu kwa kua kabla ya kua member nimekua nikifuatilia makala na mada moto moto na baadhi zimetoa masuluhisho ya kudumu katika baadhi ya changamoto.
Nina umri wa miaka 35, naombeni msaada wenu kujua dawa ya kutibu mtu aliethirika na punyeto, uume wangu umelegea na hauwezi kufanya kazi kwa ufanisi, nikifanikiwa kufanya tendo la ndoa ni mara moja tu basi siwez kurudia tena mpaka baada ya masaa 10 yani kesho, ikumbukwe nimeoa na hii inanisumbua sana katika ndoa yangu, mke wangu amekua muelewa sana juu ya mimi kutomridhisha lakin anahisi mimi ninawanawake wengine, tatizo hili la kupiga punyeto nilidumu nalo kwa muda wa miaka 10 kabla ya kuacha kwa tabu sana na kuoa, naombeni usaada wenu juu ya vyakula au dawa za kurudisha uwezo wangu wa tendo la ndoa japo haitokua kama mwanzo.
piga kila siku kwa mwaka thn uje hapa...utafurahi mwenyewe stress lakemhm...mie mbona nashindwa kuelewa kitu kuhusu punyeto....mbona mie napiga nyeto mwaka wa 20 sasa lakini nikiingia kwa game nikimaliza goli ndani ya dakika tano ngoma inasimama tena...nyie wezangu inakuwaje mwashindwa kurudia mpaka masaa yapite...au wee mke wako sio mzuri?
Akizingatia ushauli wako mkuu tatizo litaisha fast naataleta mrejeshosaga kitunguu saumu gm100 na tangawizi gm 200 chemsha maji yake litre( 2) hadi zibakie 1.5 unywe nusu glasi asubuhi na jioni hadi yaishe au tafuta majani makavu ya mlonge gm 200 yakaushe yasage chemsha na maji ya litre 1.5 kunywa nusu glas asubuh na jioni kwa muda wa week 1
unaweza kufanya zote 2
ukichemsha hizo dawa nyngi unaweza kupaka uuume wako kidogo asubuh na jioni
masharti
usichue/kufanya mapenzi kwa muda ule unaotumia dose
siku ukifanya naye tena badili mazingira uliyoyazoea
waeza fanyia sebuleni au chini(sio kitandani) hiii inasaidia kisychology
NB;Mlonge na dawa nyingne za asili ntext nkuunge na mtu anaziuza
hujui lolote khs nyeto bora ukae kimyaKijana una matatizo mengine binafsi nyeto haileti matatizo kama hayo unayosema, kwanza kwa siku ulikua unapiga goli ngapi..?
Labda ukiwa single kama mimi ,,,ila kwa alieoa tena kwa miezi mitatu consecutively!!!Pamoja na kula vizuri na kufanya mazoezi ya nguvu.
Kaa miezi 3 bila kufanya tendo la ndoa,huku ukizingatia MSOSI safi na mazoezi.
Utakuja kuleta mrejesho hapa.
Nasisitizia miezi mitatu no kupiga mti ,maana unaanza dozi yenyeuhakika Wa TIBA 99.99
piga kila siku kwa mwaka thn uje hapa...utafurahi mwenyewe stress lake
labda upo sawa kaka ila ndo ninatatizohujui lolote khs nyeto bora ukae kimya
Serekali mtaiuwa jamani ya Bukoba tu yamewashinda.. Mnataka muibebeshe na mzigo wa punyeto!!![]()
![]()
![]()

Umetishaaaawee nyeto ulikuwa unapiga kwa style gani labda tuanze hapo. kama ulikuwa watumia mkono wa kulia kupiga nyeto basi hiyo itakuwa sababu