Naombeni ushauri nimeadhirika na punyeto

Naombeni ushauri nimeadhirika na punyeto

Hechinodemata

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2016
Posts
1,487
Reaction score
3,356
Wapendwa JF nawasalimu,
Kwanza kabisa nishukuru waasisi wa JF na memba wote, naimani kubwa nitapata msaada humu kwa kua kabla ya kua member nimekua nikifuatilia makala na mada moto moto na baadhi zimetoa masuluhisho ya kudumu katika baadhi ya changamoto.

Nina umri wa miaka 35, naombeni msaada wenu kujua dawa ya kutibu mtu aliethirika na punyeto, uume wangu umelegea na hauwezi kufanya kazi kwa ufanisi, nikifanikiwa kufanya tendo la ndoa ni mara moja tu basi siwez kurudia tena mpaka baada ya masaa 10 yani kesho, ikumbukwe nimeoa na hii inanisumbua sana katika ndoa yangu,

Mke wangu amekua muelewa sana juu ya mimi kutomridhisha lakin anahisi mimi ninawanawake wengine, tatizo hili la kupiga punyeto nilidumu nalo kwa muda wa miaka 10 kabla ya kuacha kwa tabu sana na kuoa, naombeni usaada wenu juu ya vyakula au dawa za kurudisha uwezo wangu wa tendo la ndoa japo haitokua kama mwanzo.
 
Pole sana ndugu, ila sidhani kama kuna dawa yakutibu tatizo hilo zaidi ya wewe mwenyewe kutashauri nakuamua kuacha kabisa,

Zipo njia zakufuata ambazo zinaweza kukusaidia kuacha nazo ni:

Pendelea kujichanganya na watu,

Fanya mazoezi kwa sana

Kunywa maji mengi

Kula vyakula kama karanga nk

Mboga za majani usisahau katika mlo wako wa kila siku
 
Pole sana kaka, kula vyakula vya asili vya kisukuma uone kama network itakata tena, mimi pia niliathirika na punyeto ila yangu ilikua more Advanced maana nilipiga bila sabuni wala kitu chcht ndo maana nacharaza magori ya kutosha tu, nimepractice tangu 2003 mpaka leo lkn nikikamata mke lazma aombe pooo...

Kula msos asili km
ugal dona,
mihogo mchemsho
Mbogamboga
Matunda
Shushia konyagi unapoingia kwenye ligi uone utakavyotiririka
 
Pole sana ndugu, ila sidhani kama kuna dawa yakutibu tatizo hilo zaidi ya wewe mwenyewe kutashauri nakuamua kuacha kabisa,

Zipo njia zakufuata ambazo zinaweza kukusaidia kuacha nazo ni:

Pendelea kujichanganya na watu,

Fanya mazoezi kwa sana

Kunywa maji mengi

Kula vyakula kama karanga nk

Mboga za majani usisahau katika mlo wako wa kila siku
nashukur kwa ushauri
 
Kwa muda wa miaka 10 n lazma utakuwa umeathirika kisaikolojia atakusaidia lakin pia tafuta dawa za kuongeza nguvu angalau umridhishe mkeo
 
mhm...mie mbona nashindwa kuelewa kitu kuhusu punyeto....mbona mie napiga nyeto mwaka wa 20 sasa lakini nikiingia kwa game nikimaliza goli ndani ya dakika tano ngoma inasimama tena...nyie wezangu inakuwaje mwashindwa kurudia mpaka masaa yapite...au wee mke wako sio mzuri?
 
Pole sana kaka, kula vyakula vya asili vya kisukuma uone kama network itakata tena, mimi pia niliathirika na punyeto ila yangu ilikua more Advanced maana nilipiga bila sabuni wala kitu chcht ndo maana nacharaza magori ya kutosha tu, nimepractice tangu 2003 mpaka leo lkn nikikamata mke lazma aombe pooo...

Kula msos asili km
ugal dona,
mihogo mchemsho
Mbogamboga
Matunda
Shushia konyagi unapoingia kwenye ligi uone utakavyotiririka
nimekupata kaka nafarijika kwa ushaur wako
 
mhm...mie mbona nashindwa kuelewa kitu kuhusu punyeto....mbona mie napiga nyeto mwaka wa 20 sasa lakini nikiingia kwa game nikimaliza goli ndani ya dakika tano ngoma inasimama tena...nyie wezangu inakuwaje mwashindwa kurudia mpaka masaa yapite...au wee mke wako sio mzuri?
Ndo mana nikaileta hii mada hapa nipate msaada, wenzangu munawezaje na mimi nashindwaje
 
Fanya mazoezi,ingia road kimbia,kula matunda,mboga za majani,jiamini,mbona utakuwa Messi kutupia nyavuni mazee..
 
Inabidi sasa serikali itangaze hali ya hatari.
Kama tayari umeacha ni vizuri sana, ila kitu cha msingi fanya mazoezi,kula chakula kizuri na jiamini.

NB:Usijaribu kutumia dawa za kuongeza nguvu za kiume utaongeza tatizo.
Asante
 
Back
Top Bottom