Naombeni ushauri niko dilema

Naombeni ushauri niko dilema

Urafiki ni kitu kizuri kilinde hiko Mkuu

Mazoea yalipotiliza U ache Kuwa na mipaka
 
Habari wana jukwaa hili pendwa
Nlilipotea kitambo kidogo more than one year kutokana na u busy mwingi si unajua mwanaume lazima upambane? ok now am back let go straight to the point.

Iko hivi nina rafiki yangu jirani mtaa wa pili tumezoena sana ikawa kila ikifika jumapili nakua naenda pale kwakwe tunapiga story huku tukipata moja baridi moja moto.Jamaa nyumani anaishi na mke pamoja na mashemeji zake wawili wakike na mke wake na mtoto mdogo wa umri kama mwaka moja na nusu hivi sasa ikawa pale ni kama nyumbani wakawa wamenizoea sana tatizo likitokea kama rafiki yangu hayupo ananipigia cm naenda mimi kawasaidia ndo ikawa hivo. kwa sababu mimi sio mtu wa kusafiri sana kama huyu rafiki yangu wa kufa na kuzikana mara nyingi nakua mkoa mmoja ndo mana ikitokea tuu tatizo naenda.

Sasa tatizo likaanzia hapa mdogo wa huyo mama akawa ananifanyia visa wewe mwisho wa siku nikajikuta nishamkula ndo ukawa mchezo wetuu kusema ukweli ni wazuri sana kuanzia dada mpaka wadogoo yaani daah mashalah tukaendelea huyu dent akafungua chuo akaenda chuo ila kila weekend anarudi home akawa anakuja getto tuna banjuka hatarii. Hee siku niliitwa pale kuna tatizo la short ya umeme lilitokea nyumba nzima kukawa hakuna umeme basi nikaenda bhna na tanesco waka solve tatizo .Gafla yule binti mwingine ambae atamwita mke wa jamaa yangu mamake mkubwa akaanza mozea nikasema hii balaa nikamuambia mimi siwezi kua na wewe akwa king'ang'anizi weee ikabidi nae nimgonge tuu ili asinisumbue ila nikamumbia asimwambie mwenzake akasema hatamwambia kwa hiyo nikawa nakula waote wawili mpka leo hawajuani . huyu kamaliza form 4 so mda mwingi alikua nyumbani tofauti na yule mwenzake alikua anasoma chuo anarudii tuu weekend.

Kubwa kuliko loote ni hili hapa ambalo ndo limenifanya nikaleta huu uzi hapa coz sina ata amani moyoni kutokana na mimi kuwa naenda pale mara kwa mara yule mtoto mdogo wa rafiki yangu alitokea kunizoea sana sasa kupitia yule mtoto mke wa jama nae akaanza kunizoea kusema ukweli namuheshimu sana tena sana sikutegemea kama na yeye ananitaka kimapenzi nilipata shock nusura nizimie but nilijakza kiume nikamuambia shemeji mimi siwezi kua na wewe kamwe namuheshimu sana rafiki siwezi kufanya hivo.Nilivomuambia hvo m kasirika sana akanambia lazima aniaribie kwa mme wake nikamuambia sawa tuu fanya utakalo ila mimi siwezi kua na wewe akanambia ananipa week moja nimpe jibu la kueleweka la si sivyo sitamsahau maisha yake yote daah. wakuu hapa nilipo naumiza kichwa hatari imebaki siku 2 tuu nimpe jibu

je ni haki kula dada mtu na wadogo zake wawili?
je ni haki kutembea na mke wa rafiki yako kipenzi ?
naombeni ushauri wapendwa ni mkasa mrefu sana sema nimefupisha tuu siwezi elezea kila kitu
mzee either umuite muongee umrecord mazungumzo yote kwa sim
obvious yy atakua anafunguka tu na hata hio mipango yake ya kukuharibia kwa mshkaj wako then mpige chin bila kumuambia ulikua una mrecord
baki na uitunze hio recordin kama vyeti vyako vya elim kama dem akikuharibia jamaa akikujia amepanic unacho cha kujitetea
 
unapoitwa mwanaume ni pale unapojua kutatua tatizo kubwa na zito... had hapo ulipofika bado siyo mwanaume sababu hilo swala ilikuwa kuamua tu.. kuleta humu inamaana unatarajia jibu la kuruhusiwa kula..!!!
 
Sijaelewa mantinki ya swali. Rejea "ni sahihi kutembea na mtu na wadogo zake wawili?" hapo kwenye wadogo zake wawili ndio penye shida. Inamaana hujui kua hao wawili nao kuna mkubwa na mdogo ama!!!
 
Mkuu usije ukakubali kuingia huo mtego. That is deadly. Mpaka sasa ushafanya damage kubwa kwenye urafiki wenu.

Chondechonde, kama hii habari ni ya kweli na sio ya kutunga, then nakushauri hilo wazo la kumgegeda shemejio uliondoe kabisa.

Kwasasa hakikisha huendi hapo nyumbani kwa rafiki yako kama mume wake hayupo. Pia epuka kuwa faragha (sehemu isiyo ya wazi) naye popote pale.

Hata kama kumetokea tatizo hapo nyumbani kwake, unaweza kulitatua bila wewe kwenda physically. Tumia hata hela ikibidi kwa kutuma fundi au mtu yeyote. Toa visingizio vya kushindwa kwenda hata kama rafikio atakuomba yeye mwenyewe uende.

Ukienda kuna siku anaweza hata apige makelele kuwa umembaka au unataka kumbaka. Bora urafiki wenu ufe kwa yeye kukuzushia uongo lakini sio kwa kufanya kweli. Mwishowe ukweli utakuweka huru. Acha mazoea kabisa na huyo mwanamke. Hajui anachokifanya...anasukumwa na nyege. Au labda kuna kitu hakimfurahishi kwa upande wa mumewe na hivyo anataka kumkomoa au kulipiza. In that state anakuwa hajali matokeo.

Hata hao wadogo zake achana nao...au oa mmoja wa hao ingawa inaweza pia isababishe bifu kati yao ambalo linaweza kukuletea stress zisizo na ulazima. Be careful bro!!!!
ushauri nasaha. Chukua huu ushauri
 

Attachments

  • upload_2017-4-3_15-17-56.png
    upload_2017-4-3_15-17-56.png
    97 bytes · Views: 26
Habari wana jukwaa hili pendwa
Nlilipotea kitambo kidogo more than one year kutokana na u busy mwingi si unajua mwanaume lazima upambane? ok now am back let go straight to the point.

Iko hivi nina rafiki yangu jirani mtaa wa pili tumezoena sana ikawa kila ikifika jumapili nakua naenda pale kwakwe tunapiga story huku tukipata moja baridi moja moto.Jamaa nyumani anaishi na mke pamoja na mashemeji zake wawili wakike na mke wake na mtoto mdogo wa umri kama mwaka moja na nusu hivi sasa ikawa pale ni kama nyumbani wakawa wamenizoea sana tatizo likitokea kama rafiki yangu hayupo ananipigia cm naenda mimi kawasaidia ndo ikawa hivo. kwa sababu mimi sio mtu wa kusafiri sana kama huyu rafiki yangu wa kufa na kuzikana mara nyingi nakua mkoa mmoja ndo mana ikitokea tuu tatizo naenda.

Sasa tatizo likaanzia hapa mdogo wa huyo mama akawa ananifanyia visa wewe mwisho wa siku nikajikuta nishamkula ndo ukawa mchezo wetuu kusema ukweli ni wazuri sana kuanzia dada mpaka wadogoo yaani daah mashalah tukaendelea huyu dent akafungua chuo akaenda chuo ila kila weekend anarudi home akawa anakuja getto tuna banjuka hatarii. Hee siku niliitwa pale kuna tatizo la short ya umeme lilitokea nyumba nzima kukawa hakuna umeme basi nikaenda bhna na tanesco waka solve tatizo .Gafla yule binti mwingine ambae atamwita mke wa jamaa yangu mamake mkubwa akaanza mozea nikasema hii balaa nikamuambia mimi siwezi kua na wewe akwa king'ang'anizi weee ikabidi nae nimgonge tuu ili asinisumbue ila nikamumbia asimwambie mwenzake akasema hatamwambia kwa hiyo nikawa nakula waote wawili mpka leo hawajuani . huyu kamaliza form 4 so mda mwingi alikua nyumbani tofauti na yule mwenzake alikua anasoma chuo anarudii tuu weekend.

Kubwa kuliko loote ni hili hapa ambalo ndo limenifanya nikaleta huu uzi hapa coz sina ata amani moyoni kutokana na mimi kuwa naenda pale mara kwa mara yule mtoto mdogo wa rafiki yangu alitokea kunizoea sana sasa kupitia yule mtoto mke wa jama nae akaanza kunizoea kusema ukweli namuheshimu sana tena sana sikutegemea kama na yeye ananitaka kimapenzi nilipata shock nusura nizimie but nilijakza kiume nikamuambia shemeji mimi siwezi kua na wewe kamwe namuheshimu sana rafiki siwezi kufanya hivo.Nilivomuambia hvo m kasirika sana akanambia lazima aniaribie kwa mme wake nikamuambia sawa tuu fanya utakalo ila mimi siwezi kua na wewe akanambia ananipa week moja nimpe jibu la kueleweka la si sivyo sitamsahau maisha yake yote daah. wakuu hapa nilipo naumiza kichwa hatari imebaki siku 2 tuu nimpe jibu

je ni haki kula dada mtu na wadogo zake wawili?
je ni haki kutembea na mke wa rafiki yako kipenzi ?
naombeni ushauri wapendwa ni mkasa mrefu sana sema nimefupisha tuu siwezi elezea kila kitu
Umechuma janga kale na wa kwenu!Ukipanda maharage utavuna maharage,mahindi utavuna mahindi,choroko utavuna choroko,je wewe ulipanda nini?je unaelekea kupata mavuno tofauti?nijibu alafu nikushauri
 
Kawaida yangu mimi sifanyi mazoea na mke ya mtu hata kama mumewe ni rafiki wa kufa na kuzikana. Yaani sizoeleki hata kwa kulipwa. Ushauri wangu, hama kabisa huo mtaa vinginevyo yatakukuta mabaya
 
Tafuta na kusikiliza wimbo wa tamaa mbaya wa 20% kwa gharama yoyote.
 
Jamani huu urafiki sijui ushosti kwenye mausiano yangu me hapana taka kabisa......

Mazoea ni mabaya sana yakizidi kias
 
Kuamini mikasa yajf naukatoa mawazo yako kwakutumia akili nyingi ikibidi hata kuwashirikisha watu wako wakaribu ili tu uweze kumshaur mwana member mwenzako aise yataka iman kubwa
 
Umepazoea kwao kuliko hata kwako.
Kaa kwako tulia, achana na mke wa mwenzako. Yeye aharibu anavyojua na wewe useme ukweli wako hata kama hutaaminika na huyo best ako
 
Back
Top Bottom